Assalaam alaykum warahmatullahi wabaraakatuh kaka na dada zangu wa JF.
Nimeamua kujiunga humu ili niweze kujifunza mambo kadha wa kadha kutokana na hoja anuai katika mazingira yetu ya kisiasa...
Hello Guys! Habari gani great thinkers!? Mi mgeni mwenyeji humu toka 2013 leo najitambulisha rasmi kwa forums zote.. Hope mwenye daftari la mahudhurio anatambua uwepo wangu rasmi... Pia naomba...
Habar za kazi ndugu zangu?kwa moyo wangu mkunjufu naomba kupokelewa kwa mikono yote miwili...naahidi kuwa muadilifu na chachu ya kufikia wat we want...ampapo..ni dhamila muhimu..naomba mnipokee...
Hodi hodi mi mwanaharakati Wa Maendeleo kwa wale wanaopensa masuala ya kuwa kwenye vikundi vya kukopeshana maarufu kama vicoba nitafurahi kuwa mwalimu wao na nitawasimamia mpaka wawe sawa gharama...
Habari zenu wadau.
Mimi ni mgeni humu ndani naombeni mnipokee tafadhali.
Ni kwa muda sasa nimekua nikisikia watu wakiisifia jamii forum kwa kusheheni habari moto moto na mijadala mbalimbali ila...
Habariiiiii Rafikii....
Nawashukuru members wote wa Jf mlinikaribisha humu Jf kwa mara ya kwanza nikitokea Fesibuku.
Nawashukuru sana maana nimejiunga kwa mara ya kwanza juzi J pili ila jana Jioni...
Nimefurahi Leo kuwa member rasmi was jamii forums, kama miezi miwili na ushei nilikuwa visitor tu. Kwa kweli nimefurahishwa na namna mnavyoendesha mijadala, nadhani ntapata mengi kutka kwenu, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.