Naitwa Nyani wa Kale, nina furaha sana kuwa hapa maana nimekuwa msomaji tu kwa zaidi ya miaka 8.
Hatimaye sasa nitaongea ana kwa ana na watu niliokuwa nawasoma tu
Nyani wa Kale
Habari wana JF. Ni matumaini yangu kuwa mko poa wote humu ndani na mnapambana na majukumu ya hapa na pale.
Kiukweli, ni jambo la kushukuru sana kwa kuwa tuko safi na wenye afya njema.
Bila...
Natumai mko salama, nimekua mdau Wa Jf tangu mwaka 2009 nikimiliki account lakini kuna tatizo lilitokea sikuweza ku-sign in tena hivyo nimeamua kurudi tena humu.
Nategemea kujifunza mazuri toka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.