Fanya mambo yafuatayo ili hali hiyo isitokee tena.
√ kata nywele sehem za siri, kisha chukua maji ya ukoko wa ugali unawie sehem hizo zinazonuka( hakikisha unafanya hivi ukiwa umeoga) fanya Mara...
Wapendwa mambo zenu
Natumai kila mtu yuko poa
Jamani mimi nina mwili wa kawaida ila ni mrefu (size kama ya jokate) ambao huwa unapungua ila haujawahi kuongezeka kuwa vile ambavyo mimi napenda...
Habari wakuu hamjambo najua kwa wanaume yashawatokeeni saana unakuta mwanamke anabonge la mzigo akipia watu macho kodoo. Binafc kuna manzi nilimfukuzia kama mvua mbili ananizungusha tuu.
Siku...
Mamboz,
Mimi ni mpenzi sana wa matte liquid lipsticks na kuna duka linajulikana sana ndo huwa nanunua hapo
Week iliyopita nilitoka kununua hizo lipsticks na sikuzitumia, sasa leo nikachukua moja...
Na tusikie dada/mwanamke akilialia eti hana bwana au maisha magumu au sijuwi ni kule...
Kuna wenzake wana shida kule yeye lakini wana enjoy life tu, pamoja na majanga ya kutisha kimaisha...
Miss Tanzania, Lilian alivaa vazi hili huko Marekani, Las Vegas. Maelezo ya picha hii yanasema vazi hili ni bora (the best) kwa kuwakilisha utamaduni wa Mtanzania.
Wanamitindo mnisaidie.
Kuna style nyingi za kunyoa hasa kwa wanaume, miongoni ni kiduku na upara
Kati ya hizi style ipi ni nzuri na ya kiheshima katika jamii, maana style zingine kama kiduku akinyoa mtu unaweza...
Heri,
Nakiri kua nina yapenda sana maji kupita kiasi. Naweza kuoga hata mara 6 kwa siku. Sipendi jasho hivyo huni fanya nioge mara kwa mara.
Sasa basi kuna dhana kua " uki oga mara kwa mara...
Skwati (squats) ni moja ya mazoezi mepesi na muhimu kwa mwili wa binadamu. Aina hii ya mazoezi ni nafuu na salama yasiyo na gharama yoyote na yanayoweza kufanywa nyumbani na bila mahitaji ya vifaa...
Ni wachache sana wanabahatika kuwa navy usoni...ni vidude flani vigumu vyeusi umbo dogo kama punje ya mtama.
Wengine vyao huwa vikubwa..kama jokate kidoti.
Nini maana ya hivi vidude?
Vina uspesho...
Katika baadhi ya sehemu duniani watu wanaamini kuwa ngozi angavu huashiria uzuri, utajiri na uwezo(kifedha) alionao mtu.Katika baadhi ya sehemu watu wenye ngozi nyeusi huchukuliwa kuwa wapo chini...
Wakuu nataman sana kufuga rasta fulani ivi zisiwe ndefu sana ziwe fupi kiasi afu nywele zisiwe nyekundu zionekane nyeusi na rasta zakusimama
Ninanywele ngumu sana za kisinga singa afu huwa...
Wadau wa Ujenzi zone blog kuna vitu tunavipuuzia kwa kuhofia gharama au kwa kutokujua.
Kwa mtazamo wangu kama umeweza jenga nyumba ya milion kadhaa basi bado hautashindwa kuipendezesha kwa frem za...
Habari zenu warembo na watanashati,
Mimi naombeni msaada wenu.
Nimetoboa masikio yapata wiki ya pili sasa. Nilitoboa kwa sonara na nikapewa na vihereni orijino vyenye mchanganyiko wa dhahabu na...
Makalio yetu ndiyo yanatoa shepu fulani kwa mwanamke katika vivazi na ukiyaachia ovyo yanaweza kukuletea mushkeli na kama ukiyatengeneza kama yale makalio yanayosifiwa sana na watu wa Televisheni...
Aina za Mitoo na Foronya Ya Njee Ya Nyumba!
Mitoo ya njee haina utofauti na ile itumikayo ndani ya nyumba kwa matumizi tofauti; Kwa mfano, matumizi ya chumbani kwa kulalia, sebuleni kwa kuegemia...
Habari! wakuu naweza pata maelekezo ni wapi naweza pata makeup kit kwa hapa Dar ni maduka yapi hasa,huyu mtu anayehitaji hii kitu ni beginner ko ni vitu vipi essential zaidi anahitajika asivikose...
Wajameni naombeni mnijuze mafuta mazuri ya kumpakaa mtoto wa miez nane na kuendelea sehemu ya baridi,maana olive oil mepes so anapauka parachute nayo hivohivo vaseline yamemgomea yalimtoa rashes.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.