patricl
JF-Expert Member
- Oct 2, 2015
- 508
- 297
Fanya mambo yafuatayo ili hali hiyo isitokee tena.
√ kata nywele sehem za siri, kisha chukua maji ya ukoko wa ugali unawie sehem hizo zinazonuka( hakikisha unafanya hivi ukiwa umeoga) fanya Mara mbili kwa wiki 900 itapendeza
√ Tumia maji ya limao kunawia sehemu hizo husaidia kukata harufu
Angalizo:
Epuka kutumia sabuni,manukato ya kubadilisha Mara kwa mara ambapo hupelekea kupoteza harufu halisi ya mwili wako.
Nawasilisha,,,,
√ kata nywele sehem za siri, kisha chukua maji ya ukoko wa ugali unawie sehem hizo zinazonuka( hakikisha unafanya hivi ukiwa umeoga) fanya Mara mbili kwa wiki 900 itapendeza
√ Tumia maji ya limao kunawia sehemu hizo husaidia kukata harufu
Angalizo:
Epuka kutumia sabuni,manukato ya kubadilisha Mara kwa mara ambapo hupelekea kupoteza harufu halisi ya mwili wako.
Nawasilisha,,,,