Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,002
Mamboz,
Mimi ni mpenzi sana wa matte liquid lipsticks na kuna duka linajulikana sana ndo huwa nanunua hapo
Week iliyopita nilitoka kununua hizo lipsticks na sikuzitumia, sasa leo nikachukua moja nianze kutumia nikaona ina utofauti nikasema labda hisia zangu nimetoka for lunch namaliza kula naona lipstick imetoka khaaa na sio kawaida nikasema ngoja niangalie vizuri nakuja kugundua ni fake.
Kwa kweli roho imeniuma isitoshe huyo mtu hajawahi kuleta vitu fake nikasema haina shida nitanunua zingine but najiuliza huyu mtu kafanya makusudi kuleta sasa hivi lipsticks hizi fake au hajui? Maana sio kawaida yake.
Mimi ni mpenzi sana wa matte liquid lipsticks na kuna duka linajulikana sana ndo huwa nanunua hapo
Week iliyopita nilitoka kununua hizo lipsticks na sikuzitumia, sasa leo nikachukua moja nianze kutumia nikaona ina utofauti nikasema labda hisia zangu nimetoka for lunch namaliza kula naona lipstick imetoka khaaa na sio kawaida nikasema ngoja niangalie vizuri nakuja kugundua ni fake.
Kwa kweli roho imeniuma isitoshe huyo mtu hajawahi kuleta vitu fake nikasema haina shida nitanunua zingine but najiuliza huyu mtu kafanya makusudi kuleta sasa hivi lipsticks hizi fake au hajui? Maana sio kawaida yake.