Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Habari zenu wana JF Jamani mwenzenu Kuna Tusuruali twangu tutatu tweusi tunazidi kupauka... Nataka ziwe nyeusi zing'ae Kama zamani... Nifanyaje eti [emoji27] [emoji27] [emoji27]
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Naombeni mnijuze mazoezi ambayo nikiyafanya yatanisaidia ili miguu yangu iongeze ujazo
1 Reactions
36 Replies
20K Views
Wataalamu wa upasuaji wamegundua kuwa kuondoa nywele kwenye eneo la mwili kabla ya kufanya upasuaji, kunaongeza hatari ya athari na maambukizi katika ngozi. Imeelezwa kuwa unaponyoa nywele zote...
12 Reactions
66 Replies
51K Views
Jamani kwa aliewahi tumia mafuta ya nywele ya vaida naomba feedback please
0 Reactions
3 Replies
9K Views
kwa warembo wa jf naomba mnieleke namna ya kufanya steaming kwa njia ya kienyeji bila kutumia yale makemikali! msaada tafadhali,nataka nimpendezeshe wifi yenu naturally.
1 Reactions
12 Replies
7K Views
Usafi umekuwa mtihani kwa watu wengi , kwa kifupi sio kila mtu anaupenda usafi, ukikutana na mtu msafi basi ni hobby. Sikuwahi kujua kama usafi inaweza kuwa hobby ??? Kitu ambacho ni lazima...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Aiseeeee Nilimsotea sana huyu mrembo nikampania sana maana kimuonekano ni anavutia haswa Basi nikaenda nae hadi akawa sawa Ajabu na kitu iliyonikata stim ni huyu demu kuwa na kingozi ligumu...
2 Reactions
44 Replies
12K Views
Wakuu nadhani mko poa, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Nimekuwa mtanashati mno hadi naonekana kero kwa watu wangu wa karibu nini nifanye ili nijiepushe na hali hii. Kama ujanipata hebu...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Jamani hili halipo kwa ma barmaid au Dada zetu wanaotoka familia duni. Lipo kwa Dada zetu hasa wanaofanya kazi katika makampuni makubwa na wana nafasi ambazo pasi shaka zinawaingizia kipato...
7 Reactions
33 Replies
11K Views
Habari wakuu, napenda kujua historia na asili ya hii kofia, naona kama ni utamaduni ambao tumeurithi kutoka mataifa ya jirani, je asili yake ni wapi?
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Hali zenu. Jukwaa hili katika thread hii ntakua napost urembo wa asili ambao natumia na naendelea kutumia na pia ukanisaidia,hope pia na nyinyi utawasaidia,na ningeomba mirejesho ili nijue...
21 Reactions
123 Replies
29K Views
http://youtu.be/0Ry9gGS_SVQ
0 Reactions
81 Replies
46K Views
Jana nimemuona kijana mmoja ninayemuheshimu akiwa amevaa suruali iliyochanika chanika kwenye magoti nikasikitika sana. Nikajikuta najisemea kuwa huyu naye kafirisika kimtazamo? Sasa nimejua ni...
3 Reactions
77 Replies
19K Views
Habari zenu wakuu Moja kwa moja niende kwenye mada maana kichwa cha habari kina swali nililo kusudia kuuliza Katika maisha yangu toka Nime balehe na kuota ndevu nimekua sina raha katika maisha...
2 Reactions
85 Replies
17K Views
Habari zenu wana janvi?. Hivi Mwnaume uson usipokuwa na ndevu au sharubu walau kidogo unajichkuliaje.!!?. Binafs nilishajarib mara kadhaa bila ya ndevu lakin nilijiona tofaut mno. Nahsi mtoto wa...
2 Reactions
59 Replies
13K Views
Wanaume wanalalamika sana kuhusu jinsi wanawake tunavyopaka makeups zetu. Na hizi colour combo ndio kabisaaa...Maybe huwa tunafanya makosa bila kujua. Jaribu kuzingatia yafatayo ukiwa unajiandaa...
4 Reactions
18 Replies
9K Views
Mambozi dears, for the first time nataka nijaribu lace wig lakini naona mostly zimesukwa mbili kichwa au kubana kidoti, ina maana ukiliachia tu bila kubana au kusuka halipendezi? Mwenye picha ya...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Sabuni ya maji Shampoo hutumika vizuri kama sabuni ya mikono, na ni rahisi kuliko sabuni ya kununua. Tia robo shampoo kwenye kifungashio changanya na maji, tikisa ichanganyike vizuri. Shaving...
6 Reactions
10 Replies
12K Views
Wakuu habari. Mimi ni mpeni wa vazi la suti mara moja moja kwa mwezi au event sio mbaya. Sasa kuna huu muundo wa suti naona kama umenivutia. Naomba kwa anaejua naweza kuzipata wapi kwa hapa Dar...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Leo wadau napenda kushare ni jinsi gani utaweza kutambua km pefrume au bidhaa yoyote inayohusu utunzaji wa afya ya mwili km vile lotion,perfume,lipstip kwa wadada na bidhaa zingine km hizo zinazo...
9 Reactions
54 Replies
17K Views
Back
Top Bottom