Titia
Senior Member
- Jul 3, 2013
- 155
- 113
Habari zenu warembo na watanashati,
Mimi naombeni msaada wenu.
Nimetoboa masikio yapata wiki ya pili sasa. Nilitoboa kwa sonara na nikapewa na vihereni orijino vyenye mchanganyiko wa dhahabu na niliambiwa kwamba zile hereni ni za moja kwa moja nachotakiwa kufanya ni kupaka mafuta ya nazi kila siku na kuzungushia hereni kwa sikio.
Sasa tatizo nimefanya hivyo yapata wiki ya pili sasa lkn masikio hayana dalili za kupona. Mara kama yanatoa usaha kwa mbali wkt mwingine yanaonekana yamekauka.
Naomba msaada wapendwa nifanyeje ili yaweza kupona haraka.
NB: pia ngozi yangu nina mzio sitakiwi kuvaa hereni za kawaida kama silver basi original na gold hivyo hivyo.
Mimi naombeni msaada wenu.
Nimetoboa masikio yapata wiki ya pili sasa. Nilitoboa kwa sonara na nikapewa na vihereni orijino vyenye mchanganyiko wa dhahabu na niliambiwa kwamba zile hereni ni za moja kwa moja nachotakiwa kufanya ni kupaka mafuta ya nazi kila siku na kuzungushia hereni kwa sikio.
Sasa tatizo nimefanya hivyo yapata wiki ya pili sasa lkn masikio hayana dalili za kupona. Mara kama yanatoa usaha kwa mbali wkt mwingine yanaonekana yamekauka.
Naomba msaada wapendwa nifanyeje ili yaweza kupona haraka.
NB: pia ngozi yangu nina mzio sitakiwi kuvaa hereni za kawaida kama silver basi original na gold hivyo hivyo.