Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,501
- 9,279
Wapendwa mambo zenu
Natumai kila mtu yuko poa
Jamani mimi nina mwili wa kawaida ila ni mrefu (size kama ya jokate) ambao huwa unapungua ila haujawahi kuongezeka kuwa vile ambavyo mimi napenda niwe. Mimi napenda kuwa mnene lakini mnene wa kawaida nisishangaze watu na mwili wangu uwe na muelekeo sio nyama zitune tuu bila mpangilio hata nguo zishindwe kunipendezesha jaman.
Ila kinachonishangaza ni kwamba watu wengi wanaonifahamu wananiona kama vile siko sawa kwa kupenda kuwa mnene.
Kwani kuna kosa gani jaman la mtu kutaka kuwa na mwili wenye nyama zilizonona vizuri? Je nakosea kwa kutaka kuongeza mwili wangu.
Na anayejua namna ninavyoweza kufanya ili noingeze mwili wangu anisaidie maarifa maana hili jambo sidhani kama litaweza kuondoka akilini mwangu mpk nilikamilishe.
Nataka kuwa kama huyu
Natumai kila mtu yuko poa
Jamani mimi nina mwili wa kawaida ila ni mrefu (size kama ya jokate) ambao huwa unapungua ila haujawahi kuongezeka kuwa vile ambavyo mimi napenda niwe. Mimi napenda kuwa mnene lakini mnene wa kawaida nisishangaze watu na mwili wangu uwe na muelekeo sio nyama zitune tuu bila mpangilio hata nguo zishindwe kunipendezesha jaman.
Ila kinachonishangaza ni kwamba watu wengi wanaonifahamu wananiona kama vile siko sawa kwa kupenda kuwa mnene.
Kwani kuna kosa gani jaman la mtu kutaka kuwa na mwili wenye nyama zilizonona vizuri? Je nakosea kwa kutaka kuongeza mwili wangu.
Na anayejua namna ninavyoweza kufanya ili noingeze mwili wangu anisaidie maarifa maana hili jambo sidhani kama litaweza kuondoka akilini mwangu mpk nilikamilishe.
Nataka kuwa kama huyu