Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Kama kichwa cha habar kilivyo. Mtaalam anipe ushauri wa dawa au kipodozi cha kuondoa rashes katika mfumo wa vipele vidogo vidogo.
0 Reactions
26 Replies
27K Views
Naomba Ushauri wako juu ya Muziki Wangu - JamiiForums
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani naombeni msaada Wapi nitapata mafunzo ya kutembea kwa viatu virefu? Nahitaji darasa asap!
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Wakuu naomba kujuzwa ni mafuta gani hutumika kufanyia masaji, nifahamu pia pahala yanapopatikana kwa Dar
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wanajamii forums hopefully mko fine. Leo nilitaka kuwaambia wanaume wenzangu ambao walikuwa na maswali kama 1. KWANINI WANAWAKE NI WABAHILI SANA? 2. HIVI WANAWAKE HELA ZAO WANAPELEKA...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Thi is what Victoria has in store for winter collection
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu Waungwana, Kuna jambo nimeliona jana saloon hata sijapenda, nimekwenda kufanya body wax na kutoa nyusi kufika namkuta mkaka ameshikilia nyusi lina guna tuu mmh,mmh, hakuishia hapo...
7 Reactions
100 Replies
11K Views
Wakuu habari za jumapili, kumekuwa na wimbi kubwa la wadada na wamama kusafishwa na kusuguliwa miguu kwenye baadhi ya vituo na maduka ya urembo. Je utamaduni huu mpya unaongia kwa kasi katika...
0 Reactions
39 Replies
7K Views
Husika na kichwa cha habari,nahitaji msanii/painter anayeweza kuchora kwa ustadi kuchora kwenye nguo,ama fabrics ,mniPM tuyajenge.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nilikuwa naapita mitaaa ya uzwazi ya hapa Jijini.. Manzese na Magomeni. Ukikutana na wanawake 10.. lazima tisa wamevaa vazi la dera.. Ukikutana na vijana 10 lazima 9 wamezaa tshirt za...
10 Reactions
75 Replies
13K Views
Wasalamu wakuu, Ndugu zangu, Siku hizi naona kitambi kimeanza kujitokeza[emoji134] asikwambie mtu kitambi kina shida. Naangaika jinsi ya kukaa, nalazimika kulegeza mkanda wakati nakaa...
5 Reactions
113 Replies
13K Views
Haya wale team ma feki ma wigs mjue watu weusi hatuhitajiki duniani,walishwapata kwenye kujichubua hadi mwenzenu akiwa mweusi mnamcheka utasikia eti mweuuuusiiiiiiiiii huku mmekunja na sura sasa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Mijanaume ya mkoa ikija Dar inaiga mambo za kike hadi saluni inaenda Mxieeww Mbakigi makwenu Nyau nyie mnafanya hadi wanaume sisi wa Dar tuonekane majinga Dar hatutak shoboooo sisi ni...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Imebidi niulize sababu nimejikuta nywele zimenyonyoka Kama nimenyolewa, banda ya kuweka curl baada ya miezi mitatu nikaweka DAWA ya movate ili nilainishe nywele coz nilikuwa nataka Kusuka yebo...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
No shave November, Nini maana yake? Dunia ina mengi.... Hiki ni kipindi cha mwezi mmoja wa kumi na moja ambapo wanaume huweka utaratibu wa kuachia/ kutokunyoa ndevu zao kwaajili ya la kusave...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari. Kwa wale mliotumia haya mafuta naomba mrejesho maana nataka kiyatumia.
0 Reactions
44 Replies
37K Views
Wanabodi nawasalimu sana! Mi nimeshazeeka. Mitindo ya vijana inanipita kushoto. Nambieni hiyo Pascal Wawa hapo, wa pili Kutoka kushoto, huo mtindo wake wa nywele mnaitaje huko Mjini, huku...
5 Reactions
71 Replies
10K Views
Nahitaji kujua wanawake wanavutiwa na rangi gani
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Kinauzwa $17million. Kimetengenezwa na gold, patent leather, silk, na kupambwa na 236 diamonds. 15 carat flawless D-diamond center piece at the tip of each shoe. Viko Dubai, ukihitaji Info zaidi..
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom