Mtoto mkubwa
Member
- Dec 29, 2014
- 68
- 23
Naomba kuuliza, Ntapata wapi hansome up, kwa hapa dar. anaejua anijuze na je beiyake shilingi ngapi, Ahsante..
hiiNdo nn hyo
duh, ndo mavitu gani aya ?
ya kukuza dudu i thinkduh, ndo mavitu gani aya ?
doh, uyu jamaa kaamka breki ya kwanza anataka arefushe uume ? aisee, sisi tuko kiwandani uku tunachapa kaziya kukuza dudu i think
nimeonaga matangazo yake kwenye gazeti za udaku sanaaa
πππhata hicho ni kiwanda kwa kiasi chake coz kinazalishadoh, uyu jamaa kaamka breki ya kwanza anataka arefushe uume ? aisee, sisi tuko kiwandani uku tunachapa kazi
ππππππ , 'nimeajiriwa' kiwandani, sina kiwanda mimi, drone=nyuki dume, drake=bata dume, maana yake nna 'dushe 2', ila siuzi zile 'drone' za kupaaπππhata hicho ni kiwanda kwa kiasi chake coz kinazalisha
za asubuhi bwana drone drake , naeza pata drone za kufanya saviliensi kwa mnaodai mna viwanda ili niwe na uhakika wa kodi
πππ dushe ngapiii ππππ jamaa anaetaka hadsome up si umpunguzie kiainaaaππππππ , 'nimeajiriwa' kiwandani, sina kiwanda mimi, drone=nyuki dume, drake=bata dume, maana yake nna 'dushe 2', ila siuzi zile 'drone' za kupaa
mwanaume wa dar uyo, mwache apambane na hali yake, anataka 'kumkomoa' mwanamke' mwacheπππ dushe ngapiii ππππ jamaa anaetaka hadsome up si umpunguzie kiainaaa
hiyo dudu ndio ajira yake(mario)ndio maana anahaha.doh, uyu jamaa kaamka breki ya kwanza anataka arefushe uume ? aisee, sisi tuko kiwandani uku tunachapa kazi
m'babaishaji huyo. wikipedia hii hapaSoma hapa kwanza mkuu hasa comment ya mwisho handsome up inasaidia au watanzania wanaibiwa? - JamiiForums
Acha na hiyo itakuumiza kuna dawa za asili ambazo hazina madharaya kukuza dudu i think
nimeonaga matangazo yake kwenye gazeti za udaku sanaaa