Kucha za bandia ni tatizo kubwa kwangu

kagombe

JF-Expert Member
Mar 1, 2015
3,508
1,642
Unaenda kwa mama lishe au muuza matunda unakuta kabandika mikucha utasema hachambi.

Sasa sijui tunakula vinyesi vya wangapi kwa siku.

Naomba niishie hapo kwa sasa

FAD665D1-59A3-42B6-A3A8-67543A511DC7-304-00000015D7D023D4.jpeg
 
mm nikifika kwa mama Ntilie huwa najifanya kama nampa hela ili apokee.. nikiona tuu kucha chafu au za kubandika namchana afu nasepa.. Na hawaongeagi kitu.. AIBU SHUUU
 
Back
Top Bottom