MartinCoder
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 700
- 629
Wale wanaopiga mswaki nje ya nyumba hasa wanaume tena kandokando ya njia huku wamevaa vibukta vifupi vimeishia kwenye mapaja na tumbo wazi sio ustaarabu.
AiseeHuku kwetu sisi hatuna sink, mswakiw unaenda nao bafuni. Kabla hujaoga unaanza kusafisha meno na kusukuwa.
hahahaWeka picha
Mbona kawaida tu huku kwetu mie huwa napiga mswaki nje asubuhi huku nimejifunga taulo kifua wazi na kitambi changuwale wanaopiga mswak nje ya nyumba hasa wanaume tena kandokando ya njia huku wamevaa vbukta vfup vimeishia kwenye mapaja na tumbo waz c ustaarab
Mbona kawaida tu huku kwetu mie huwa napiga mswaki nje asubuhi huku nimejifunga taulo kifua wazi na kitambi changu
nakutana na baba mwenye nyumba naye anapiga mswaki amejifunga kitenge cha mkewe kifua wazi na hivi mwembamba vimbavu vinahesabika!
Muda huo akipita mtu hunisalimia kwanza mimi
Buku 7 hizo zinakunenepeshaMbona kawaida tu huku kwetu mie huwa napiga mswaki nje asubuhi huku nimejifunga taulo kifua wazi na kitambi changu
nakutana na baba mwenye nyumba naye anapiga mswaki amejifunga kitenge cha mkewe kifua wazi na hivi mwembamba vimbavu vinahesabika!
Muda huo akipita mtu hunisalimia kwanza mimi
We mie buku saba za nini wakati nna biashara kubwa tu ya majenezaBuku 7 hizo zinakunenepesha