Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
Jana kwenye msiba wa Masogange (R.I.P) nilipata kuwaona wasanii wengi wakiwa nje ya studio za kufanyia shooting.
Wengi walikuwa na muonekano wao wa asili usioboostiwa na make ups.
Wengi kwa kweli walionekana kuwa na sura ngumu sana tofauti na tunavyowaonaga kwenye videos zao.
Mfano Alikwiba, alionekana ana sura ngumu kuliko hata Remi Ongala.
Duh! Nimeshangaa sana. Kumbe wasanii hawana u HB wowote. Make ups tu ndio zinawabeba kwa sana.
Wengi walikuwa na muonekano wao wa asili usioboostiwa na make ups.
Wengi kwa kweli walionekana kuwa na sura ngumu sana tofauti na tunavyowaonaga kwenye videos zao.
Mfano Alikwiba, alionekana ana sura ngumu kuliko hata Remi Ongala.
Duh! Nimeshangaa sana. Kumbe wasanii hawana u HB wowote. Make ups tu ndio zinawabeba kwa sana.