Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,774
- 3,460
Tukubali au tukatae lakini ukweli utabaki kuwa pale pale.
Wadada wote wenye nywele za bandia wana asili ya uchafu narudia asili ya uchafu. Nasema ni wachafu kwasababu nnapokwenda kuoga maji na sabuni hamjipaki kichwani mnatunukisha uvundo.
Hata mjae hasira vipi nitasema mpaka kufa kwangu, kasoro lazima niziseme.
Wanaume wenzangu fanyeni utafiti, mchukuwe mdada mwenye nywele za bandia mkimaliza Ku do nenda nae pamoja bafuni mkaoge, ila tahadhari ukitaka akuchukie mmwagie maji kichwani kama nasema uongo muje munisute hapa.
Napenda mwanamke mwenye nywele zake za asili kwakweli zinanivutia sana hadi raha.
Nywele zenyewe zinakaa kichwani wiki moja mpaka mbili kwanini zisitowe harufu???
Na harufu yake utafikiri pamepita gari la taka mmmh?!
Kwa leo niishie hapo maana naona watanijia vibaya.
Omo inaruhusiwa.
Wadada wote wenye nywele za bandia wana asili ya uchafu narudia asili ya uchafu. Nasema ni wachafu kwasababu nnapokwenda kuoga maji na sabuni hamjipaki kichwani mnatunukisha uvundo.
Hata mjae hasira vipi nitasema mpaka kufa kwangu, kasoro lazima niziseme.
Wanaume wenzangu fanyeni utafiti, mchukuwe mdada mwenye nywele za bandia mkimaliza Ku do nenda nae pamoja bafuni mkaoge, ila tahadhari ukitaka akuchukie mmwagie maji kichwani kama nasema uongo muje munisute hapa.
Napenda mwanamke mwenye nywele zake za asili kwakweli zinanivutia sana hadi raha.
Nywele zenyewe zinakaa kichwani wiki moja mpaka mbili kwanini zisitowe harufu???
Na harufu yake utafikiri pamepita gari la taka mmmh?!
Kwa leo niishie hapo maana naona watanijia vibaya.
Omo inaruhusiwa.