Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Niliona juzi vijana wakitetea bwana mdogo mmoja ambae inasemekana ana miaka 20 aliepiga picha na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, dogo ana mwili mkubwa na amenenepeana sana.
Watu wakawa wanasema unene mwingine ni genetic disorder.
Lakini ukweli ni kua unene mwingi tunajitakia tu na wala sio mambo ya genetic disorder.
Angalia hizi picha za Rick Rose the Boss. Tuwe na nidhamu kwenye kula na kunywa. Kitu pekee kinachoweza kusababisha ukapungua ni chakula. Kama hujadhibiti ulaji hata ukimbie hadi Mwanza hakuna kitu.
Watu wakawa wanasema unene mwingine ni genetic disorder.
Lakini ukweli ni kua unene mwingi tunajitakia tu na wala sio mambo ya genetic disorder.
Angalia hizi picha za Rick Rose the Boss. Tuwe na nidhamu kwenye kula na kunywa. Kitu pekee kinachoweza kusababisha ukapungua ni chakula. Kama hujadhibiti ulaji hata ukimbie hadi Mwanza hakuna kitu.