Asante dada zangu kwa kuachana na Mawigi, wamebaki kichwa ngumu

dubu

JF-Expert Member
Oct 18, 2011
3,496
3,461
Heshima wakuu,

Nachukua nafasi hii kuwashukuru wale wote waliacha kuvaa vimawigi. Kwanza mlikuwa hampendezi, hata sijui nani alikuwa kawafundisha.

Baada ya kuachana na mawigi, wengi huwa mnapendeza sana. Nmefurahi kuona leo mwendokasi hamna hata mmoja aliyevaa wigi.

Hongera sana. Msirudie tena kuvaa hayo mashetani. Na Mungu awasaidie.
 
Niliwai panda na mdada mmoja kwa mwendokasi daah nikawa na sikia kama mvundo wa utumbo ...sasa sielew dada mzuri anatoa harufu au ni mbwa imegongwa road ,duuh kuja jua kumbe ni harufu ya wigi ambalo nahisi funza watatoka soon.
 
Hakuna kitu nachukia kwa mwanamke kama manywele haya ya kichina sijui kihindi, kama makatani vile!
Hata thamani ya binadamu inapotea kabisa unaweza kudhani ni kiumbe kipya.
Njoo sasa kwa hayo marangi rangi duu!
 
Fashion ndio inaondoka hiyo,ikirudi umeshazeeka,nilisikia kulikuwa na mawigi nilipokuwa mtoto sana,sasa nimekuja kuyaona live kama fashion nimeshazeeka...
 
Hakuna jambo la kijinga nilionalo kwa wanawake kama kuvaa mawigi na kutumia lotion za kubadilisha rangi ya ngozi zao
tatizo kila wanachokiona kwa wazungu na wenyewe wanataka wakifanye mwisho wa siku wanaonekana kama Cartoon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom