Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Nilikuwa naapita mitaaa ya uzwazi ya hapa Jijini.. Manzese na Magomeni. Ukikutana na wanawake 10.. lazima tisa wamevaa vazi la dera.. Ukikutana na vijana 10 lazima 9 wamezaa tshirt za...
10 Reactions
75 Replies
12K Views
Wasalamu wakuu, Ndugu zangu, Siku hizi naona kitambi kimeanza kujitokeza[emoji134] asikwambie mtu kitambi kina shida. Naangaika jinsi ya kukaa, nalazimika kulegeza mkanda wakati nakaa...
5 Reactions
113 Replies
12K Views
Haya wale team ma feki ma wigs mjue watu weusi hatuhitajiki duniani,walishwapata kwenye kujichubua hadi mwenzenu akiwa mweusi mnamcheka utasikia eti mweuuuusiiiiiiiiii huku mmekunja na sura sasa...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
  • Redirect
Hey guys Haya mafuta ya carotone yamekua maarufu sana hapa bongo kweli kweli Kuna kuchupa kidogo kikubwa na kikubwa zaidi Nimesikia kati ya hizo chupa ndogo kabisa ndo inaleta feedback ya haraka...
0 Reactions
Replies
Views
Mijanaume ya mkoa ikija Dar inaiga mambo za kike hadi saluni inaenda Mxieeww Mbakigi makwenu Nyau nyie mnafanya hadi wanaume sisi wa Dar tuonekane majinga Dar hatutak shoboooo sisi ni...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Imebidi niulize sababu nimejikuta nywele zimenyonyoka Kama nimenyolewa, banda ya kuweka curl baada ya miezi mitatu nikaweka DAWA ya movate ili nilainishe nywele coz nilikuwa nataka Kusuka yebo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
No shave November, Nini maana yake? Dunia ina mengi.... Hiki ni kipindi cha mwezi mmoja wa kumi na moja ambapo wanaume huweka utaratibu wa kuachia/ kutokunyoa ndevu zao kwaajili ya la kusave...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari. Kwa wale mliotumia haya mafuta naomba mrejesho maana nataka kiyatumia.
0 Reactions
44 Replies
31K Views
  • Redirect
Wasalam..! Kama nilivyo wasalimia kijana ni mgen kwenye huu mtandao, nimiez michache nimejiunga humu. Hapo mwanzo nilikiua nasikia jamii forum, lakin rafiki yangu juz, tukiwa tunapata mbili...
0 Reactions
Replies
Views
Wanabodi nawasalimu sana! Mi nimeshazeeka. Mitindo ya vijana inanipita kushoto. Nambieni hiyo Pascal Wawa hapo, wa pili Kutoka kushoto, huo mtindo wake wa nywele mnaitaje huko Mjini, huku...
5 Reactions
71 Replies
9K Views
Nahitaji kujua wanawake wanavutiwa na rangi gani
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kinauzwa $17million. Kimetengenezwa na gold, patent leather, silk, na kupambwa na 236 diamonds. 15 carat flawless D-diamond center piece at the tip of each shoe. Viko Dubai, ukihitaji Info zaidi..
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kichwa cha mada kinavyo eleza hapo juu sijawahi hudhuria interview yoyote hata ya ulinzi shirikishi kifupi sina experience yeyote kuhusiana na interview. Mimi ni muhitimu wa chuo fulani...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
  • Redirect
Wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojiekeze mimi ni "ME", napenda sana kuzitunza na kufuga nywele zangu za kichwa.. So naomba kufahamishwa mafuta mazuri ambayo yatanisaidia kulainisha nywele...
2 Reactions
Replies
Views
Kama kuna kitu kimetushinda wababa wengi ni kujua mkeo anataka nini hasa kwenye ishu nzima ya mitindo ya nywele za kusuka, hebu pata darasa la bure hapa mitindo michache ili usibabaike shemeji...
8 Reactions
30 Replies
21K Views
Habari za jioni ni mafuta gani mazuri ambayo upakwa kwenye ndevu zikawa na muonekano mzuri
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Wakuu, Kuna watu huwa wanatumia nguo za ndani kwa muda mrefu bila kununua mpya. Kiafya, nguo ya ndani inabidi ivaliwe kwa miezi mitatu tu baada ya kuinunua, kisha itupwe au ichomwe moto...
5 Reactions
53 Replies
6K Views
Habari zenu jamani,mwenzenu chunusi zinaharibu kabisa urembo wangu nimekua na machunusi mpaka naona aibu kuonana na watu nisaidieni jamani nitumie nini mi ni mweusi sitaki kuwa mweupe kabisa...
6 Reactions
93 Replies
16K Views
Habari za asubuhi Wakuu. Bila ya kupoteza wakati nijikite kwenye mada tajwa hapo juu. Ni asubuhi iliyonjema kabisa kila mmoja wetu akiwa na pirikapirika yake ya kujitafutia riziki ya kila siku...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…