Watu wa kupenda fashion mara nyingi tunakuwa tuna sehemu zetu za kununua mavazi kama nguo, kofia, wallet, mabegi, miwani, saa za mkononi nk nk.. Pia vitu kama perfumes, jewelries nk...
So...
Ukiwa unawaza kupiga pamba zako huwa unawaza kumechisha?
Rangi gani unapenda kuvaa na zinazochukua asilimia kubwa ya nguo zako?
Vitu nisivypenda kuvaa:
-Suruali za kitambaa
-Nguo zenye rangirangi...
Tatizo la Chunusi na Namna ya Kulikabili[emoji68][emoji68][emoji68][emoji68]
[emoji654][emoji68][emoji68]Chunusi ni jambo la kawaida wakati wa balehe na
zinatokea kwa sababu Mvulana au msichana...
Ukiacha raizon viatu, pekosi au bugaluu suruali, klimplin mashati na afro nywele miaka ile ya sabini, miaka ya tisini kuna mitindo ilivuma nikikumbuka huwa nacheka sana!
Unakumbuka ...
Hello ,mambo vipi?
Natumaini wote mko salama kabia, sasa leo nimekuja na mbinu ya kupunguza uzito kwa haraka ,note hii mbinu sio health ila tuiite crush plan!kwhyo usifanye mwaka mzima usije...
Kama kuna fashion ambayo imeniteka ni hii ya shift dresses. Naweza kukaa hata masaa sita naangalia shift dresses online. Nadhani ni aina ya style ambayo inaweza kumpendeza mtu yeyote yule...
KARIBU ORIFLAME KWA BIDHAA BORA KABISA ZA VIPODOZ KWA WANAUME NA WANAWAKE
[emoji117]KUNA SCRUB NA TONER,kwa ajili ya kuondoa chunusi na sumu za cream zenye kemikali zilizoharibu na kuunguza ngozi...
Apo chacha!
Wanawake wanaotumia kope bandia wanahofiwa kuwa na hali ya hatari ya kupata upofu wa macho kutokana na gundi wanazotumiwa kutumia kope hizo kuripotiwa kuripotiwa kuwa na athari kwenye...
Habari za Jumapili wakuu,
Nimekuja kwenu nina tatizo moja, nina mchumba wangu ninampenda sana kwakweli ila ana tatizo la chunusi ambapo hili swala linamkosesha raha na hata Mimi pia. Natamani...
Salaam!
Natarajia kufunga ndoa mapema mwezi ujao. Naombeni ushauri ni pete gani nzuri kwa sasa zinazofaa kwa hiyo shughul ya harusi? Ushauri wenu wadau, picha zitanieleweza zaidi wana jf.karibuni
Nadhani sasa wasichana wa kibongo kuna mganga anawadanganya kuwa ukiwa na midomo ya namna hii wewe utaonekana mtamu, kitu kilichoperekea kila mschana kupiga picha akiwa amekunja midomo kama...
Unapoingia dukani , kabla hujafungua mkoba, wallet au kunyofoa hela mfukoni kununua jeans, ni vitu gani huwa unavizingatia sana kabla hujasema "yeah, hii jeans kweli kali muhudumu nipe hii"?
Mimi...
kuna vitu kama mwanamke naviangalia na naishia kusikitika.. hivi inakuaje hili wimbi la wanaume kwa kasi ya ajabu kujiremba? hivi mwanaume kujichubua ni ili awe mrembo au? wameenda mbali mpaka...
Nilipataga ajali nikaumia katika shavu langu la kushoto nikawa na kidonda baada ya kupona pakabaki kovu jeusi halitaki kuftika naomba kwa anaejua dawa anifahamishe tafadhari
Ndugu wanajamii amani iwe nanyi nyote!
Jiji la DAR ni zaidi ya vipodozi.Uwepo wangu ndani ya jiji hili nimejifunza mambo mengi sana lakini hili la joto nahitaji kujielimisha zaidi
Kuna watu...
Ni mara nyingi utasikia au kuona TFDA ikikamata vipodozi vyenye sumu na kisha kuviteketeza kwa madai ya kuwalinda watumiaji.
Kwa upande mwingine wauzaji na watumiaji aghalabu ulalamika kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.