Mimi mwenyewe sio hijabi (not yet) lakini huwa nawaza kuwa nikifika umri fulani ningependa kuanza kuvaa Hijab kwahiyo huwa nafanya research yangu ya Hijab fashion sehemu nyingiii, online na...
Kumetokea wimbi la wasichana na wamama kutoboa masikio zaidi ya ilivokuwa zamani.
Zamani tulijua kutoga masikio kuliendana na ule utaratibu kutoboa sehemu ya chini kabisa ya sikio tundu moja...
Naona siku hizi wadada wengi wanapenda kujifunga khanga, ili kuonyesha maumbo yao. Na wengi wanapovaa khanga ndani hawavai nguo yoyoye ili kuonyesha maumbile yao.
Hapa mtaani kwangu jamaa...
Kama mwanaume mtanashati kuna vitu vitatu ambavyo ni foundation ya kupendeza "
1. KIATU
2. MKANDA
3. SAA
Hi vitu mara nyingi kwa hulka za kiume ni mara chache kumkuta mwanaume ana mikanda zaidi...
Warembo wa humu ndani...especially wale wenye seasonal chunusi+lashes..+ wale wanaotaka kumaintain their skin colour kuna this lotion hapa....
1.inatibu vipele na zile chunusi ambazo sio sugu...
2016 has been the year of the crotch - well showing it off on the red carpet that is. Models Giulia Salemi and Dayane Mello were the latest girls to show it ALL during the Venice Film Festival...
Siku hizi nashangaa wanawake wanaweka makatani kichwani,mikope ya plastiki,kujichora marangi midomoni,mikucha ya plastiki mirefu,halafu anapiga picha kabinua kibinda nkoi,limdomo kalitanguliza...
Pamoja na kupendeza kwote vazi la suti au koti la suti nimekuwa silioni kama ni muhimu kwa wakati wote hadi siku nitakapoona hivyo.
Angalau mkulima mimi pia nianze kutoka kivingine ninapoanza...
Tabia hii imekuwa ikifanya chupi kuwa na kiharufu flan hivi kibaya kutokana na kukosa Jua vizuri na kupelekea mvaaji kuonekana ananuka. Jamani tuanike nguo za ndani nje tu na kama unahofia basi...
Habari ndugu zangu,
Nipo kwenye ukarabati wa salon yangu ya kiume. Bado najitahidi kupata front view(design ya mbele) ndani kwenye vioo vya kujitazama kipindi mteja ananyolewa na interiol colour...
-They're attractive and stylish for both men and women. (They add pleasure too...)
-The piercing don't hurt much if you do it in the midline. (just a little pinch)
-If you plan to remove the...
Habari, Mimi nina tatizo, uso wangu umekua na rashes na makovu meusi ila sijui tatizo ni nini, nilishauriwa kutumia carotone ila nmeng'aa tu Ila makovu yenye weusi bado yapo
Msaada wenu wa mafuta...
Na weza kuingia dukani nika baki na ng'aa ng'aa macho nashindwa ni nunue ipi hapa?? Mwisho wa siku na ambulia patupu.
Labda niulize ni lotion/ mafuta gani ya uso?
Walau uso ungae vizuri naku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.