Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
(EAST AFRICA) Martin Kadinda (Tanzania) Sheria Ngowi (Tanzania) Bobbins & Seif(Uganda) Moise Turahirwa(Rwanda) Makeke International (Tanzania) Jamila Vera Swai (Tanzania)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mke wangu nampa thamani ya juu kama gari ya Hummer na ningependa apendeze nje ndani. Sasa sipendi avae hizi chupi za Mwenge za buku tano, tano na ninataka nimu upgrade kwa kumnunulia chupi za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Haya ni mavazi wanayovaa wanyarwanda kwenye harusi bila kujali kabila la mtu, harusi zote za wanyarwanda huvaa hivyo. Napenda sana mavazi yao. Haya ni mavazi ya waganda kwenye harusi bila...
1 Reactions
9 Replies
29K Views
Habari zenu wapendwa.... nina tatizo la nywele zangu yaan nyepesi sana halafu kavu plus zinachomoka kila ninapochana kiasi cha kusababisha kukosa uwiano... nyuma zimekatika mpaka zinatia...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Kama kuna mtu amewahi tumia hii aniambie kwasababu nimeisoma haina vitu vya kuchubua ila imeandikwa whitening.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
"ARUSHA kuna uvaaji mzuri sana kulinganisha na der esalam"…. Salama jabiri
16 Reactions
233 Replies
48K Views
Wakuu habari za mchana nimeona mahali kuwa miss tanzania mpya ana miaka 18 na wakati huo huo tayari ana degree moja hii ni kuwa alianza form one akiwa na miaka 9 mpaka kuja kugraduate ukweli ni upi?
7 Reactions
61 Replies
7K Views
Kama u mrembo,unapenda mitindo hii inakuhusu Pin It Jane Michael Ekanem a fashion entrepreneur, fashion stylist and wedding stylist show us this fashion essential (white shirt) is needed in your...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kaimu afisa habari wa mrembo huyo, Charles William amelazimika kutoa taarifa sahihi kwa vyombo vya habari za mshindi huyo: Napenda kuujulisha Umma yafuatayo; 1. Miss Tanzania 2016/2017...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu Kwa wale waliokosa kuangalia shindano la kumpata mrembo jana kupitia channel zetu . Tafadhali pitieni hapo chini muone jinsi mambo yalivyokuwa mpaka tukampata mrembo wetu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salamu wanabodi Ndugu zangu naomba mnisaidie, uso wangu unamafuta mengi sana so nilikua nauliza nifanyeje ili niweze kuyapunguza ama loshen au mafuta ama kitu chochote chenye uwezo wa kuweza...
0 Reactions
12 Replies
15K Views
Wakuu, Nadhani mnajua kina Lil Wayne na watoto wengi wa kishua utakuta ana kichuma flani hivi either juu ya jicho pembeni ya nyusi au kidevuni. Ni wapi wanafanyaga hizo shughuli kwa hapo Arusha...
2 Reactions
47 Replies
8K Views
Msaada jaman nilikua naomba kujuzwa au kufahamishwa pahala ambapo nitaweza kujifunza urembaji utengenezaji wa kucha wakina dada na ata men's wanaopenda dat kind of fashion
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Je unataka kujua aina ya ngozi yako na matunzo kulingana na aina ya ngozi yako? Unahitaji kuelewa kuhusu bidhaa za vipodozi hatarishi? Haya na mengine mengi kuhusu Afya ya Ngozi yatapatikana...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Inavyosemekana wanawake wengi hutumia poda au talc, na nguvu ya matangazo yanayowalenga hasa wanene, kupaka maeneo ya siri. Huyu mama alikua akitumia poda hiyo badae kaugua kansa na kuwashitaki...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa anaefaham lotion nzuuri ya kijipakaa sehem zenye joto manake zingine daa zinaongeza joto na jasho jingi
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Maji ya Uwaridi na Liwa: Liwa ina sifa ya kunyonya mafuta usoni na hivyo husaidia kutibu chunusi. Changanya Liwa na Maji ya Uwaridi kwa ratio ya 2:1. Paka usoni na uache hadi ikauke kabisa kisha...
1 Reactions
2 Replies
29K Views
Habari zenu wana JF nina ndugu yangu ana uso wa namna hiyo msaada maana uso wake una mafuta mengi black spot n vitobo vitobo dawa yake ni nini????
0 Reactions
20 Replies
13K Views
Leo kampuni ya kutengeneza baby powder Johnson & Johnson wameamriwa walipe fine ya dollar million 55 kwa mwanamke aitwaye Gloria. Kesi hii inasemekana madai ya huyo mama ni kwamba talcum powder...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mambo, naomba tushare saloon wanaopamba vizuri ambazo hawapaki mamakeup mengi saloon gani nzuri na mtu anaepamba vizuri
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Back
Top Bottom