kijanamtanashati
JF-Expert Member
- Aug 22, 2014
- 516
- 890
wamependeza ile kinoma
Usianze kuchonoa imani za watu mkuu hao wamejifunga matambaa sio maana ya hijabu usipotoshe umma.
dah kwahiyo niliowaweka unaona hawajapendeza mkuu?Mi huwa naona wasichana weupe wakivaa hijab ndo wanapendeza kuliko weusi, weusi labda wakitupia viremba tuu flan amazing
*hapa nazungumzia hijab kama style ya uvaaji tu, ila si kama masharti ya kidini
ushemeji wa halali ndo unatakiwa, ushemeji usiokuwa rasmi tukigundua tunakutoa na viboko!Aisaee kijanamtanashati "hamunitaki niwe shemeji yenu"
Mkuu ntavaa suruali mbilimbili !! usijali ZZ haongopei....ushemeji wa halali ndo unatakiwa, ushemeji usiokuwa rasmi tukigundua tunakutoa na viboko!
Hahahadah kwahiyo niliowaweka unaona hawajapendeza mkuu?
Mpendwa khaah!! unawatazama kwa woga au khofu.... hao ni 5 Star classics...mwenyewe mwarabu nimetoa heshima!!Hahaha
Wanapendeza ila hawaja wazidi weupe
HahahaaMpendwa khaah!! unawatazama kwa woga au khofu.... hao ni 5 Star classics...mwenyewe mwarabu nimetoa heshima!!