Ya kawaida tu, hayana jipya. Nimetumia chupa ya blue na ya njano zaidi ya mwaka umepita. Nadhani bei kubwa ni kwa ajili ya kufidia usafirishaji na kodi, sijui waje waliopata cha tofautiHabari.
Naomba kujua uzuri wa haya mafuta nataka nianze kuyatumia. Ngozi yangu si kavu Sana wala si ya mafuta Sana.
Natunguliza shukrani.
Ni lotion moja nzuri mno ile ya kopo la yellow ndio ninayotumia,mie ngozi yangu ya miguuni ni kavu sana to the extent inakuwa kama inachanika vidraft fulani hv ila toka nmeanza kuyatumia kwakweli ngozi yangu imekuwa nzuri sana...siwezi kupaka lotion nyingine zaidi ya hiyo kwangu its the best body lotion!Habari.
Naomba kujua uzuri wa haya mafuta nataka nianze kuyatumia. Ngozi yangu si kavu Sana wala si ya mafuta Sana.
Natunguliza shukrani.
Umekuwa kama mcharo?!Ni lotion moja nzuri mno ile ya kopo la yellow ndio ninayotumia,mie ngozi yangu ya miguuni ni kavu sana to the extent inakuwa kama inachanika vidraft fulani hv ila toka nmeanza kuyatumia kwakweli ngozi yangu imekuwa nzuri sana...siwezi kupaka lotion nyingine zaidi ya hiyo kwangu its the best body lotion!