Uchafu na umasikini

samsun

JF-Expert Member
Feb 9, 2014
7,386
5,953
Hivi ni kwanini hawa jamaa ni ndugu, umasikini na uchafu yaani mazingira ya wanapoishi machafu, mavazi wanayovaa machafu na hata muonekano wa mwili ni mchafu tu kwanini iko hivi.

Ina maana huwezi kuwa masikini na ukawa msafi wa mwili, mavazi na makazi yako yakawa masafi au tunausingizia umasikini tu kwa kila kitu

Wewe una maoni gani juu ya hili?
 
Hivi ni kwanini hawa jamaa ni ndugu, umasikini na uchafu............ Yaani mazingira ya wanapoishi machafu,mavazi wanayovaa machafu na hata muonekano wa mwili ni mchafu tu,kwanini iko hivi,ina maana huwezi kuwa masikini na ukawa msafi wa mwili,mavazi na makazi yako yakawa masafi .............. Au tunausingizia umasikini tu kwa kila kitu. WEWE UNA MAONI GANI KWENYE HILI......??
Mkuu ninadhani ni psychological effects za kukata tamaa.
 
ni kweli mimi wakati mwingine ghetto kwangu nikiingia huwa naamu kutulia pembeni kabisa napaangalia najikuta nasikitika peke yangu maana panakuwa rafu hatari
Waswahili wanasema "umaridadi huficha umasikini".
 
Hivi ni kwanini hawa jamaa ni ndugu, umasikini na uchafu............ Yaani mazingira ya wanapoishi machafu,mavazi wanayovaa machafu na hata muonekano wa mwili ni mchafu tu,kwanini iko hivi,ina maana huwezi kuwa masikini na ukawa msafi wa mwili,mavazi na makazi yako yakawa masafi .............. Au tunausingizia umasikini tu kwa kila kitu. WEWE UNA MAONI GANI KWENYE HILI......??
Mkuu sijui ulikuwa unafikiria nini..! hili swala nimekuwa nikijiuliza muda mrefu bila jibu. Angalia waendesha boda boda wengi, makondakta wa daladala.., uhhh
 
Mkuu sijui ulikuwa unafikiria nini..! hili swala nimekuwa nikijiuliza muda mrefu bila jibu. Angalia waendesha boda boda wengi, makondakta wa daladala.., uhhh
Yaani Dada yangu mimi katika maisha yangu huwa nachukia sana kumuona mtu yupo mchafu mchafu haswa akiwa hayupo ktk mazingira ya kikazi,mfano wazoa taka,wabeba mizigo na wengine wengi kwanini baada ya kumaliza kazi zao wasiende kuoga kubadili nguo kama nikuchana nywele na vitu vyote vinavyouhusiana na usafi wavifanye,lakini unamkuta mtu anarudi nyumbani akiwa kama vile alivyokuwa kazini.
 
Hivi ni kwanini hawa jamaa ni ndugu, umasikini na uchafu............ Yaani mazingira ya wanapoishi machafu,mavazi wanayovaa machafu na hata muonekano wa mwili ni mchafu tu,kwanini iko hivi,ina maana huwezi kuwa masikini na ukawa msafi wa mwili,mavazi na makazi yako yakawa masafi .............. Au tunausingizia umasikini tu kwa kila kitu. WEWE UNA MAONI GANI KWENYE HILI......??

Uchafu ni trait kama illivyo unadhifu.
Uchafu na unadhifu upo determined kwa kiasi kikubwa na Social Class.
Social Class is determined na uwezo wa kipesa.
Hivyo basi unadhifu (ambao kimsingi ni gharama) huweza kutokea kwa social class yenye uwezo wa kifedha.
Na uchafu (ambao kimsingi hauhitaji gharama) huweza kutokea kwa social class yenye uwezo hafifu wa kifedha.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom