nitatoboa kweli
Senior Member
- Jul 15, 2023
- 137
- 452
Wakuu, nimenunua shamba milimani huko, shida yake hili shamba ni maji, ukitaka kulima mazao lazima usubirie msimu wamvua.
Sasa nataka nilipande mazao ya muda mrefu ambayo yanahitaji kumwagilia kwamiezi kadhaa, bondeni ya hili shamba kuna maji mengi tu.
Je, itawezekana kutumia mbinu gani niweze kuyapandisha juu kwa kutumia rola na umbali wakutoka juu shambani hadi huko bondeni nikama rola kumi hivi.
Wataalamu wa kilimo na maji naombeni majibu ili nijue nafanyaje.
Sasa nataka nilipande mazao ya muda mrefu ambayo yanahitaji kumwagilia kwamiezi kadhaa, bondeni ya hili shamba kuna maji mengi tu.
Je, itawezekana kutumia mbinu gani niweze kuyapandisha juu kwa kutumia rola na umbali wakutoka juu shambani hadi huko bondeni nikama rola kumi hivi.
Wataalamu wa kilimo na maji naombeni majibu ili nijue nafanyaje.