Naomba ufafanuzi kuhusu kilimo cha Herbs

mkaakeny

New Member
Mar 14, 2018
2
3
Heshima zenu wakuu,

Nina penda sana kilimo cha herbs kama mint (mnanaa), basil (mrehani), rosemary, sage(mjuzi), citronella(kibelarusi), lemongrass (mchaichai), lemon balm (zeri ya limao) na nyingine kama hizi. Tafadhali naomba msaada wa kujua ABC zake ikiwemo mikoa/hali ya hewa, madawa, mbolea, uvunaji, ukaushaji na masoko. Pia nitashukuru nikielekezwa gharama, faida na hasara za kilimo hichi bila greenhouse.

Nawakilisha.
 
Mkuu upo mkoa gani?

Kwa hapa DSM mchai chai umekubali na Mint (mnanaa umekubali) rosemary inataka maeneo yenye baridi.
Nimeotesha kwenye contena kwa ajili.ya matumizi yangu sio kibiashara.
 
Mkuu upo mkoa gani?
Kwa hapa DSM mchai chai umekubali na Mint (mnanaa umekubali) rosemary inataka maeneo yenye baridi.
Nimeotesha kwenye contena kwa ajili.ya matumizi yangu sio kibiashara.
Nipo DSM mkuu...shukran sana.
 
Mkuu upo mkoa gani?

Kwa hapa DSM mchai chai umekubali na Mint (mnanaa umekubali) rosemary inataka maeneo yenye baridi.
Nimeotesha kwenye contena kwa ajili.ya matumizi yangu sio kibiashara.
Unaweza weka picha ya mnana (mint)...ningependa kuufahamu.
 

Attachments

  • Screenshot_20210301-113738.png
    Screenshot_20210301-113738.png
    197.6 KB · Views: 14
Heshima zenu wakuu,

Nina penda sana kilimo cha herbs kama mint (mnanaa), basil (mrehani), rosemary, sage(mjuzi), citronella(kibelarusi), lemongrass (mchaichai), lemon balm (zeri ya limao) na nyingine kama hizi. Tafadhali naomba msaada wa kujua ABC zake ikiwemo mikoa/hali ya hewa, madawa, mbolea, uvunaji, ukaushaji na masoko. Pia nitashukuru nikielekezwa gharama, faida na hasara za kilimo hichi bila greenhouse.

Nawakilisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom