Heshima zenu wakuu,
Nina penda sana kilimo cha herbs kama mint (mnanaa), basil (mrehani), rosemary, sage(mjuzi), citronella(kibelarusi), lemongrass (mchaichai), lemon balm (zeri ya limao) na nyingine kama hizi. Tafadhali naomba msaada wa kujua ABC zake ikiwemo mikoa/hali ya hewa, madawa, mbolea, uvunaji, ukaushaji na masoko. Pia nitashukuru nikielekezwa gharama, faida na hasara za kilimo hichi bila greenhouse.
Nawakilisha.
Nina penda sana kilimo cha herbs kama mint (mnanaa), basil (mrehani), rosemary, sage(mjuzi), citronella(kibelarusi), lemongrass (mchaichai), lemon balm (zeri ya limao) na nyingine kama hizi. Tafadhali naomba msaada wa kujua ABC zake ikiwemo mikoa/hali ya hewa, madawa, mbolea, uvunaji, ukaushaji na masoko. Pia nitashukuru nikielekezwa gharama, faida na hasara za kilimo hichi bila greenhouse.
Nawakilisha.