malisak
JF-Expert Member
- Mar 16, 2006
- 694
- 772
Wadau mwezi huu mwishoni Mungu akipenda navuna nyanya shambani kwangu Nimejaaliwa kulima heka 3 na zimebeba vizuri. Shamba lipo morogoro eneo la Dakawa. Ninachojivunai zaidi nimejifunzia humu humu Jamii forum kilimo hiki. Heko kwa wote ambao mmekuwa mskijitolea kutoa mafunzo mbali mbali.
Baada ya majaribio 2 ambayo hayakunipa faida nzuri sababu zsikuzingatia sana kanuni za kilimo hatimae mwaka huu nimesema lazima nifuate kanuni haijalishi ni gharama kiasi gani na Mungu amejibu. Nilianza na hekla moja na sasa nalima heka 3 nitabaki hapo mpk nibobeee kwanza.Msimu ujao nataka kulima ya miti nitaanza na heka moja mbili ntalima kawaida kama hii. Asanteni wote mnaoshare nasi tips bila kinyongo wala kuhitaji malipo. Mungu akawaongezee kila mlipopunguza.
Baada ya majaribio 2 ambayo hayakunipa faida nzuri sababu zsikuzingatia sana kanuni za kilimo hatimae mwaka huu nimesema lazima nifuate kanuni haijalishi ni gharama kiasi gani na Mungu amejibu. Nilianza na hekla moja na sasa nalima heka 3 nitabaki hapo mpk nibobeee kwanza.Msimu ujao nataka kulima ya miti nitaanza na heka moja mbili ntalima kawaida kama hii. Asanteni wote mnaoshare nasi tips bila kinyongo wala kuhitaji malipo. Mungu akawaongezee kila mlipopunguza.