ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,128
- 49,861
Ni rasmi Sasa kile kilio Cha Wafugaji wa Tanzania kukosa vifaranga kinaenda kuwa Historia Kufuatia Kampuni ya Cobb kutoka Ulaya ambayo ni Maarufu Kwa ufugaji na uzalishaji wa vifaranga wa kuku aina ya Broilers kuamua kuingia Africa.
Na mlango na mahala waliochagua ni Tanzania ambapo watawekeza mradi mkubwa wa ku supply broiler chickens Afrika Mashariki yote na Kati Kwa Kushirikiana na mshirika wake wa kutoka kampuni ya Irvine ya Zimbabwe.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Cobb ni kwamba gharama kubwa za usafirishaji na masharti yaliyowekwa huko Ulaya yamesababisha waambie kuanza uzalishaji hapa hapa Tanzania Kwa Ajili ya soko la ndani na la Afrika.
My Take
Ni wakati wa Watanzania kuchangamkia Fursa badala ya kulalamika na kujirundika kwenye mikutano ya Machadema ambao hakuna Cha maana Huwa wanawasaidia.
Samia Anazidi kufungua fursa Kwa kuileta Dunia Kwa Watanzania ,kazi kwenu kuchangamka.
Na mlango na mahala waliochagua ni Tanzania ambapo watawekeza mradi mkubwa wa ku supply broiler chickens Afrika Mashariki yote na Kati Kwa Kushirikiana na mshirika wake wa kutoka kampuni ya Irvine ya Zimbabwe.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Cobb ni kwamba gharama kubwa za usafirishaji na masharti yaliyowekwa huko Ulaya yamesababisha waambie kuanza uzalishaji hapa hapa Tanzania Kwa Ajili ya soko la ndani na la Afrika.
My Take
Ni wakati wa Watanzania kuchangamkia Fursa badala ya kulalamika na kujirundika kwenye mikutano ya Machadema ambao hakuna Cha maana Huwa wanawasaidia.
Samia Anazidi kufungua fursa Kwa kuileta Dunia Kwa Watanzania ,kazi kwenu kuchangamka.