Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Wadau wa kilimo naomba ushauli ninashamba la mapunga liko kati ya mita 6000 Hadi MITA elf 1 ,je pump zipi ninunue?JE petrol nch 3 hadi 4 au pump ya diesel nchi ya Bomba la nchi 3 u nne au...
2 Reactions
13 Replies
542 Views
Habari Aise naombeni kujua bei ya alizeti. Tafadhalini
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Jamani kwa wale wa SUA naomba kuuliza Bachelor of Science in animal science inadili na nini hasa? Thanks
0 Reactions
61 Replies
16K Views
Habari, Nimenunua mbuzi lakini kinyesi chake sio Kama mbuzi wengine naomba msaada nielewe shida nini
0 Reactions
5 Replies
397 Views
Habarini Wanajf Naomba kuelekezwa namna ya matumizi ya dawa za kuangamiza magugu sinazofahamika kama palizi. Nimelima alizeti maeneo ya Dodoma. Mimea ya Alizeti ilikuwa na magugu, nikaelekezwa...
0 Reactions
11 Replies
501 Views
Habari wadau, Baada ya kuwa kwenye ajira kwa miaka 10 na kuona msoto uko pale pale,nimeamua kuingia kwenye kilimo kama njia ya kuongeza kipato cha ziada. Nimeanza kwa kukodi shamba Ruvu kwani...
10 Reactions
591 Replies
217K Views
Niulize chochote kuhusu samaki wa mapambo au urembo mawasiliano 0712505049
4 Reactions
53 Replies
4K Views
Mambo vipi wadau nataka kufuga ng'ombe wa kienyeji vijijini bajeti yangu milion 5. Nataka ninunue ndama 1@150000tsh niwakuze kwa miaka 3 then niwauze je? Ni changamoto gani nitakumbana nazo...
1 Reactions
9 Replies
732 Views
Natafuta Mashamba ya Bei Rahisi kwenye Mikoa ya Kagera na Tabora. Mashamba yenye ukubwa wa zaidi ya ekari 50, yawe na upatikanaji wa maji ya kutosha na hali bora ya hewa. Mwenye taarifa za...
3 Reactions
10 Replies
613 Views
Habari za mida hii wanajamvi. Naomba msaada kwa yeyote anae fahamu ni wapi na weza kupata viazi mkoani Mbeya au Njombe. Bei iwe ya jumla ya shambani na pia gharama za usafiri zimekaaje? Kwa...
1 Reactions
22 Replies
1K Views
Leo ningependa kuzungumzia hii biashara ya kuku inayofanywa na baadhi ya wafugaji ambao mwisho wa siku wanazalisha vifaranga na kuwauzia wajasiliamali wengine. Somo hili ni mahususi kwa wale...
33 Reactions
110 Replies
32K Views
Kumekuwa na kasumba juu ya swala Zima la ufugaji wa kuku wa kienyeji kuonekana kama ni swala lisilowezekana yaani kufuga kuku wa kienyeji mpaka kufikia idadi kubwa yani 1000, 2000 au hata 3000...
26 Reactions
143 Replies
13K Views
Kwa mwana JF yeyote mwenye ujuzi na uzoefu wa kilimo cha viazi naomba anipe detail kuhusu kilimo hicho. Yaani kwa mfano, nikitaka kulima hekari moja natakiwa kuwa mtaji wa kiasi gani? Na vipi...
3 Reactions
161 Replies
120K Views
Wadau, Nimepata habari rifiji ni mgodi mpya wa upatikanaji wa ngombe na mbuzi kwa bei nzuri. Naomba yoyote mwenye ufahamu wa hili na connection anijuze!
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa kweli namkubali mbwa anaeitwa "GREAT DANE" Size yao, nguvu ya sauti ya kubweka, uchangamfu na nguvu.
5 Reactions
34 Replies
1K Views
Linastawi Tanzania? Linatumikaje?
2 Reactions
31 Replies
806 Views
Naomba ushauri wa jinsi ya kutibu huu ugonjwa.
0 Reactions
2 Replies
165 Views
Habari wanajukwaa, katika kufikiria mbinu na namna ya kuboresha na kufanya ujasiriamali kupitia kilimo na ufugaji nimewaza na kupanga kupata vijana waliopitia mafunzo ya JKT (either kwa mujibu wa...
5 Reactions
26 Replies
850 Views
Wakuu kwa mara nyingine nimefanikiwa kuagiza hawa vifaranga wa Kuroiler. Hawa ni kuku kutoka India na wanaweza fugwa free range na hawa like Dorep wanakuwa wakubwa sana. So by mwezi wa 12...
10 Reactions
84 Replies
48K Views
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Esther Edwin Malleko amegawa TANI MOJA ya Mbegu Bora za Mazao ya Alizeti kwa Wanawake wa Mkoa wa Kilimanjaro ili kuwainua Wanawake Kiuchumi katika...
1 Reactions
2 Replies
290 Views
Back
Top Bottom