EDITED
Nimeanza rasmi may 2 2023
Habari wapendwa mimi engineer by profesional pia ni mjasiliamali hua najishighulisha na kilimo na ufugaji tangu nimalize chuo sikuhitaji ajira kivile ingawa...
Mimi binafsi nahitaji nianze ufugaji wa kuku chotara, ambao wanataga na kuatamia, pamoja na kuku wakienyeji. Ingawa Kuna Comment ya mkuu Kalamu niliwahi isoma hapa jukwaani akiisema kuku...
"Je, lini Serikali itawalipa mafao wastaafu wa shamba la Kapunga Wilayani Mbarali lililokuwa linamilikuwa na NARCO? - Mhe. Bahati Ndingo, Mbunge wa Jimbo la Mbarali
"Wakati wa ubinafsishaji kati...
Ukuaji wa uchumi wa nchi ni pamoja na matumizi ya teknolojia mbalimbali ili kuongeza uzalishaji na kuinua uchumi wa nchi na maendeleo kwa ujumla.
Katika Sekta ya uvuvi, kilimo cha samaki...
Wanajf Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku!
Msimu huu nimebahatika kupata pumba ya kutosha!
Ninaomba anayejua namna nzuri ya kuihifadhi ili niitumie au hata kuiuza hapo baadae ninaomba anijuze!
Lengo...
Inahitajika mashine ya kutotoa vifaranga.
Sifa za lazima:
Iwe inatumia umeme wa Tanesco na Ikiwezekana umeme wa jua.
Iwe inayogeuza mayai (Automatic).
Iwe imara
Habar za kazi wana JF naomba kujua kuhusu kilimo cha hili zao
Je, mbegu zake zinaweza kupatikana wapi?
Je, soko lake lipoje na linawez kustaw maeneo ya baridi kama vile Njombe na Iringa...
Habari wanajamvi. Kama mada tajwa hapo juu. Natafuta shamba lenye ukubwa wa kuanzia hekari 20 hadi 100 kwa ajili ya kufugia.
Vigezo!
1. Liwe na miti ya asili au vichaka au maotea/chipukizi za...
Hello JF.
Nimeanza uzalishaji wa mchicha lishe miezi michache iliyopita hapa Kyela mjini. Takribani kola kitu kinaenda sawa. Mimi hutumia samadi na kuvuna mchicha kila baada ya siku 15 - 20...
Fursa ya Kuanzisha Viwanda vya Kuchakata Mazao ya Karanga, Ufuta na Alizeti - Kata ya Likokona, Nanyumbu
Serikali kupitia Kituo cha Uwekezaji (TIC) inaendelea kutangaza fursa za uanzishwaji wa...
Habarini wafugaji,nimepitia nyuzi nyingi humu ndani. Ufugaji wa kuku,Bata na ng'ombe umezungumziwa kwa kiasi kikubwa sana, nyuzi hizo zimenisaidia katika mradi wangu wa ufugaji.
Kwa sasa nataka...
Habar wadau wa jukwaa hili kama ujumbe wangu jinsi unavyojieleza hapo juu. Mimi ni kijana ambaye kitaaluma ni fundi umeme, ila nimejikita kwenye ufugaji kwa muda sasa hasa ufugaji wa kuku kienyeji...
Nilikuwa na watch Youtube kuhusu mkulima wa Apple Nchini Kenya anaitwa Wambugu (Wambugu Apple) nimekuwa inspired aisee, ingia Youtube andika Lynn Ngugi Wambugu apple utaiona, na anatoa darasa free...
Wakuu salaam,
Natumaini mapambano yanaendelea.
Ninaomba kuelimishwa mambo yafuatayo katika kilimo cha maharage msimu huu.
1.Jinsi ya kupanda kwenye matuta au Sesa
2.Busta nzuri inayofanya vizuri...
Nimefanya kilimo cha parachichi kwa miaka nane sasa, nilichokiona ni haya;
1. Kilimo kina mzunguko wake ni mdogo parachichi huzaa kidogo kidogo kadri miaka inavyoenda, unatumia million 10 unapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.