Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
EDITED Nimeanza rasmi may 2 2023 Habari wapendwa mimi engineer by profesional pia ni mjasiliamali hua najishighulisha na kilimo na ufugaji tangu nimalize chuo sikuhitaji ajira kivile ingawa...
9 Reactions
75 Replies
8K Views
Mimi binafsi nahitaji nianze ufugaji wa kuku chotara, ambao wanataga na kuatamia, pamoja na kuku wakienyeji. Ingawa Kuna Comment ya mkuu Kalamu niliwahi isoma hapa jukwaani akiisema kuku...
9 Reactions
107 Replies
7K Views
Nahitaji ushauri wa kitaalamu namna ya kuanzisha ufugaji samaki nyumbani asante sanaaa
0 Reactions
9 Replies
567 Views
"Je, lini Serikali itawalipa mafao wastaafu wa shamba la Kapunga Wilayani Mbarali lililokuwa linamilikuwa na NARCO? - Mhe. Bahati Ndingo, Mbunge wa Jimbo la Mbarali "Wakati wa ubinafsishaji kati...
0 Reactions
1 Replies
209 Views
Ukuaji wa uchumi wa nchi ni pamoja na matumizi ya teknolojia mbalimbali ili kuongeza uzalishaji na kuinua uchumi wa nchi na maendeleo kwa ujumla. Katika Sekta ya uvuvi, kilimo cha samaki...
3 Reactions
32 Replies
1K Views
Habari nina tafuta kuku wa kienyeji pure kwa ajli ya kufuga wale mbegu kubwa. Nipo Dar es salaam kwa alyenao tuwasiliane.
0 Reactions
3 Replies
583 Views
Wanajf Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku! Msimu huu nimebahatika kupata pumba ya kutosha! Ninaomba anayejua namna nzuri ya kuihifadhi ili niitumie au hata kuiuza hapo baadae ninaomba anijuze! Lengo...
1 Reactions
5 Replies
614 Views
Inahitajika mashine ya kutotoa vifaranga. Sifa za lazima: Iwe inatumia umeme wa Tanesco na Ikiwezekana umeme wa jua. Iwe inayogeuza mayai (Automatic). Iwe imara
1 Reactions
1 Replies
297 Views
Habar za kazi wana JF naomba kujua kuhusu kilimo cha hili zao Je, mbegu zake zinaweza kupatikana wapi? Je, soko lake lipoje na linawez kustaw maeneo ya baridi kama vile Njombe na Iringa...
3 Reactions
44 Replies
30K Views
Habari wanajamvi. Kama mada tajwa hapo juu. Natafuta shamba lenye ukubwa wa kuanzia hekari 20 hadi 100 kwa ajili ya kufugia. Vigezo! 1. Liwe na miti ya asili au vichaka au maotea/chipukizi za...
0 Reactions
9 Replies
592 Views
Natumai mko vema nilikuwa nahitaji kuanza biashara ya maharage mwenye uzoefu wa masoko na changamoto zake. Mwenye uzoefu karibu.
0 Reactions
9 Replies
634 Views
Hello JF. Nimeanza uzalishaji wa mchicha lishe miezi michache iliyopita hapa Kyela mjini. Takribani kola kitu kinaenda sawa. Mimi hutumia samadi na kuvuna mchicha kila baada ya siku 15 - 20...
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Fursa ya Kuanzisha Viwanda vya Kuchakata Mazao ya Karanga, Ufuta na Alizeti - Kata ya Likokona, Nanyumbu Serikali kupitia Kituo cha Uwekezaji (TIC) inaendelea kutangaza fursa za uanzishwaji wa...
2 Reactions
1 Replies
415 Views
Habarini wafugaji,nimepitia nyuzi nyingi humu ndani. Ufugaji wa kuku,Bata na ng'ombe umezungumziwa kwa kiasi kikubwa sana, nyuzi hizo zimenisaidia katika mradi wangu wa ufugaji. Kwa sasa nataka...
16 Reactions
231 Replies
30K Views
Habar wadau wa jukwaa hili kama ujumbe wangu jinsi unavyojieleza hapo juu. Mimi ni kijana ambaye kitaaluma ni fundi umeme, ila nimejikita kwenye ufugaji kwa muda sasa hasa ufugaji wa kuku kienyeji...
3 Reactions
0 Replies
188 Views
Zao la muhogo limekua likikua sana katika sehem mbalimbali za nchi ya Tanzania. Kuna mwenye uwelewa wa wapi wanapatikana wanunuzi wa unga wa muhogo?
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kwa kweli sijaona mfugaji wa mbuzi wa maziwa anayefanya vizuri kama huyu mfugaji aliyeko Uganda. fuatilia program hapo chini.
1 Reactions
40 Replies
5K Views
Nilikuwa na watch Youtube kuhusu mkulima wa Apple Nchini Kenya anaitwa Wambugu (Wambugu Apple) nimekuwa inspired aisee, ingia Youtube andika Lynn Ngugi Wambugu apple utaiona, na anatoa darasa free...
0 Reactions
43 Replies
2K Views
  • Redirect
Wakuu salaam, Natumaini mapambano yanaendelea. Ninaomba kuelimishwa mambo yafuatayo katika kilimo cha maharage msimu huu. 1.Jinsi ya kupanda kwenye matuta au Sesa 2.Busta nzuri inayofanya vizuri...
0 Reactions
Replies
Views
Nimefanya kilimo cha parachichi kwa miaka nane sasa, nilichokiona ni haya; 1. Kilimo kina mzunguko wake ni mdogo parachichi huzaa kidogo kidogo kadri miaka inavyoenda, unatumia million 10 unapata...
61 Reactions
175 Replies
15K Views
Back
Top Bottom