Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Anza Wiki Kwa Ushindi Ukiwa na Fuga App unaweza kusimamia Shamba lako la kuku kwa urahisi,utapata Ratiba ya Chakula ya Kila siku kulingana na umri , idadi na aina ya Kuku Calculator...
0 Reactions
0 Replies
261 Views
Kauli kama hiyo inaonyesha mtazamo wa utawala wa mabavu badala ya utawala wa sheria na haki. Huu ni mtazamo wa hofu, ukandamizaji, na ukosefu wa majadiliano ya kidemokrasia. Tuchambue kwa kina: 1...
0 Reactions
0 Replies
147 Views
Wafugaji wamekuwa wakituomba sehemu moja ya kujifunza mambo muhimu ya ufugaji wa kukuna hatimaye imefika! JIFUNZE ni kipengele kipya ndani ya Fuga App kinachokupa maarifa ya uhakika kuhusu...
2 Reactions
3 Replies
318 Views
Habari zenu wajameni, Nahitaji msaada kujua aina ya miti inayokua kwa muda mfupi, yenye kivuli kizuri na show nzuri. Iwe environmental friendly, Yasiwemakazi ya wadudu. nmekua curious...
5 Reactions
131 Replies
50K Views
Wakuu ninauliza kama kuna yeyote anaifahamu kampuni au mtu anayetoa huduma ya kuuza vitu ambavyo vinekwisha tengenezwa ili viweze kuchanganywa kwenye vyakula vya mifugo.Vitu ambavyo ninavihitaji...
3 Reactions
17 Replies
853 Views
MASHINE YA MAYAI 30 IPO KWENYE OFFER KILA MTU APATE BEI NI 150,000/=TSH. ZIPO PC 100 TU. KARIBUNI TUPO DAR ES SALAAM TEGETA KWA NDEVU DARAJANI NJIA YA KWENDA JESHINI. WATEJA WA MIKOANI...
1 Reactions
1 Replies
525 Views
Wakuu kwemaa..Poleni na Majukum. Natafita mtaalam ama mshauri wa kunisaidia hii Changamoto yangu. Ninashida na Cage ya local sio zile za kuagizia toka china. Nina fuga Kuku wa Mayai Wapatao 1000
4 Reactions
24 Replies
2K Views
HABARI NJEMA KWA WAKULIMA. Hakuna tena kuumiza kichwa kuhusu kutibu magonjwa nyemelezi kwenye mazao yako kama vile manjano, fangasi, na kudhoofika kwa mazao. Tumia mkojo wa sungura pia kuongeza...
0 Reactions
0 Replies
267 Views
Kwa sasa, ufugaji wa ng’ombe wa maziwa ni moja ya miradi inayoshika kasi zaidi Tanzania. Kila siku tubapokea simu kutoka kwa watu binafsi, taasisi, makanisa, wastaafu na vijana wanaotaka kuanza —...
1 Reactions
5 Replies
579 Views
Unatafuta namna rahisi zaidi ya kutunza rekodi zako za Ufugaji wa Kuku ili kukupunguzia mzigo wa kupiga hesabu kila siku? Rekodi Matumizi ya Kuku Wako ukiwa na Fuga App kwa urahisi kwa namna...
0 Reactions
0 Replies
184 Views
Heri ya Wiki Mpya Wafugaji Wapambanaji Unapoanza wiki hii, Fuga App ipo kukusaidia kufanya ufugaji wako uwe rahisi na wenye faida zaidi! Makadirio ya Gharama: Jua kwa usahihi kiasi cha mtaji...
1 Reactions
0 Replies
426 Views
Hizi ni kingo za Mto Mara (Rorya). Ukiupita Mto Mara hutajua kuwa unaweza kuua bustani ya mtu. Huu weupe ni Chumvi. Chumvi hii inabebwa na mto toka unakoanzia hadi ziwa Victoria. Kutumia maji haya...
2 Reactions
5 Replies
710 Views
Habari yakO Mfugaji na mdau. Niko hapa kukupa elimi na ukweli juu ya Ufugaji kuku, achana na zile story za madaktari wa SUA wanaomaliza na degree zao na hawajafanya mazoezi au practical, ukija...
8 Reactions
52 Replies
4K Views
Katika kipindi hiki, mimi binafsi naendelea kujikita kikamilifu katika harakati zangu za kutafuta mabanda ambayo naweza kuyakodisha kwa lengo la kuanzisha shughuli za ufugaji wa nguruwe. Katika...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari wakuu, Naomba muongozo kwa wenye uzoefu, Je,inaruhusiwa kusafirisha vijiti vya mihogo kiasi, Kutoka Tanzania kupeleka Zambia ,kama mbegu Asanteni.
0 Reactions
2 Replies
237 Views
Heri ya Wiki Mpya yenye Mafanikio Wafugaji wa Kuku🎉 Fuga App inakusaidia kujua Faida na Hasara kwenye Shamba Lako la Kuku kiurahisi bila Kupiga hesabu nyingi za kukuchosha ili ujue wapi...
0 Reactions
0 Replies
252 Views
Hebu tuwe wakweli ni raha kushirikisha wenzako kitu kizuri unachokipenda! Sasa kupitia Fuga App , unaweza kupata zawadi kwa kuwaleta marafiki zako wafugaji kwenye Fuga App! Fuga App inawasaidia...
0 Reactions
0 Replies
193 Views
🌞 Heri ya wiki mpya mfugaji! 🐔 Anza wiki hii kwa ubora zaidi ukitumia toleo jipya la Fuga App sasa ni rahisi zaidi kusimamia shamba lako, kufuatilia matumizi, uzito wa kuku na faida zako! 📲 Pakua...
2 Reactions
11 Replies
535 Views
Huwezi kuboresha usichopima! 💡 Moja ya changamoto kubwa kwa wafugaji wengi wa kuku ni kutokuweka kumbukumbu sahihi. Unanunua chakula kila wiki, unauza mayai kila siku, na unachoma chanjo mara kwa...
0 Reactions
0 Replies
169 Views
Huu hapa ni mchanganuo wa kulima ekari moja ya mahindi kwa sasa hivi 1. Kukodi shamba ekari 1 - 70,000/- 2. Kulima shamba mara 2 - 60,000/- 3. Mbegu pakiti 6 sawa kg 12 - 72,000/- 4. Kupanda...
24 Reactions
87 Replies
49K Views
Back
Top Bottom