Kwahiyo akipewa dawa ya minyoo atakua sawa? Mana anakula sana yaniHaina shida hiyo hutokana na kula majani yalio mabichi sana kikubwa mpe dawa za minyoo na kama ndio mpya hapo shambani kwako kumbuka kumweka Quarantine kwa siku 14 na huku ukimfanyia matibabu stahiki na kumwangalia mabadiliko ya mwili wake. ubarikiwe sana.
Dawa za minyoo ni muhimu sana hasa kwa kufwata mpangilio ulio jipangilia shambani mwako, kwa mfano. ukiwapa dawa za minyoo ya kunywa mwezi huu basi wakati wa marudio ukifwata unawapa ya kuchoma hii itakusaidia kuwaepusaha Mbuzi wako na minyoo na kuwa salama kwaajili ya uzalishaji na ukuwaji wao.Kwahiyo akipewa dawa ya minyoo atakua sawa? Mana anakula sana yani