Name: Lily's Company Limited
Established: 1991
Main Office: Swahili Street
Branches: Dar es salaam & Tanga
For more details call/email the company's managing director.
Phone...
Wana jf nina mtaji wa milion 47 sasa nataka ninunue costa moja au haice 4 au noha.ambapo nimepiga mahesabu kuwa baada ya miaka miwili ntakuwa nimerudisha mtaji wangu.kma kwa siku nategemea kupata...
Habarini wanajamvi nadhani wengi wenu mshaziona hizi scania mpya (benz) za kampuni ya Bakhressa (Azam) nyingi zikiwa zinapiga route kwenda mikoani.
Kuna hela Mungu kanijaalia nataka niwekeze...
Habari wakuu, nafanya biashara ya kusupply matunda kwa wafanyakazi wa ofisini mkoa wa iringa maeneo ya mjini. Matunda yetu ni fresh na ni mchanganyiko wa matunda mbalimbali na yanakua packed...
Waungwana habari za siku tele!
Nawaleteeni habari njema ili tuweze kuwasaidia wale ambao hawana access ya kuingia hapa nao waweze kupata machapisho ya kujisomea waweze kwenda nasi kwenye mambo ya...
Ndugu zangu natafta mchele grade A ule usio na mawe wala usiovunjika kwa bei ya jumla, mwenye nao plz anipm, pia nahitaji kuku na mayai kwa bei ya jumla, mbarikiwe
Ndugu zangu nahitaji mayai fertilized ya kienyeji na chotara kwa ajili ya kutotolesha nipo DAR ES SALAAM. Kwa yoyote anayepafahamu wanapouza Fertilized egg hapa Dar nahitaji sana.
MIMI NI KIJANA WA MIAKA 25 NAHITAJI MKOPO KUTOKA TAASISI,WATU BINAFSI NA WADAU WA MAENDELEO.PIA NINA KAMPUNI YANGU BINAFSI IMEANZA KUTOA &KUFANYA HUDUMA MBALIMBALI KAMA VILE KUTOA USHAURI WA...
Ninaomba msaada wenu wajasiriamali maana nimetumia kila sina ya dawa hata sijui tatizo Ni nn wanakufa kidogokidogo nimesoma topic nyingi na nimezifanyia kazi hapa lkn hata sijui tatizo Ni nn.
Habari gan wana jf leo nimekuja na swali langu la faida gani ntaipata kufungua website au blog nawaomba mnipe ufafanuzi kwa wale wenye uelewa na mambo ya blog na web site.
Asanteni.
Majengo yaliyokuwa yakitumiwa kwa ajili ya Chuo cha Hotel Management yanapangishwa kwa yeyote atayekuwa tayari kuendesha shughuli zake kwenye majengo hayo. Yako Busweli jijini Mwanza...
Sudeki Hatchery ina waletea habari njema kwa wanaotaka kuwekeza kwenye ufugaji wa kuku.
Sudeki hatchery ni kampuni iliyosajiliwa na inafanya utotoleshaji wa kuku wa kienyeji aina bora ya Malay...
Hureeeeeee
Wafugaji wenzangu leo nina furaha sana..katika safari hii ya ufugaji wa kuku wa kienyeji niliyoanza mwezi wa nane mwaka huu.
Leo nimefanikiwa kupata vifaranga 23. Mpango nilionao ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.