Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Name: Lily's Company Limited Established: 1991 Main Office: Swahili Street Branches: Dar es salaam & Tanga For more details call/email the company's managing director. Phone...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Wana jf nina mtaji wa milion 47 sasa nataka ninunue costa moja au haice 4 au noha.ambapo nimepiga mahesabu kuwa baada ya miaka miwili ntakuwa nimerudisha mtaji wangu.kma kwa siku nategemea kupata...
1 Reactions
38 Replies
13K Views
Habarini wanajamvi nadhani wengi wenu mshaziona hizi scania mpya (benz) za kampuni ya Bakhressa (Azam) nyingi zikiwa zinapiga route kwenda mikoani. Kuna hela Mungu kanijaalia nataka niwekeze...
3 Reactions
128 Replies
32K Views
Wakuu naomba mwenye kufaamu what and dos katika uwekezaji wake... Natanguliza shukuran
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta mayai ya kwale na Kanga na bei zake kwa trei tafadhali wana jamvi
1 Reactions
60 Replies
13K Views
Habari wakuu, nafanya biashara ya kusupply matunda kwa wafanyakazi wa ofisini mkoa wa iringa maeneo ya mjini. Matunda yetu ni fresh na ni mchanganyiko wa matunda mbalimbali na yanakua packed...
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Tafadhali nahitaji bata mzinga wa kufuga. Kama kuna mtu anauza aniPM tafadhali
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Wakuu nahitaji mkopo wa milioni mbili kwa muda wa miezi miwili,dhamana ni kadi ya Gari . Anayeweza kunisaidia tuwasiliane
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Waungwana habari za siku tele! Nawaleteeni habari njema ili tuweze kuwasaidia wale ambao hawana access ya kuingia hapa nao waweze kupata machapisho ya kujisomea waweze kwenda nasi kwenye mambo ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu natafta mchele grade A ule usio na mawe wala usiovunjika kwa bei ya jumla, mwenye nao plz anipm, pia nahitaji kuku na mayai kwa bei ya jumla, mbarikiwe
0 Reactions
8 Replies
2K Views
See me ila andaa mtaji wa kama Milioni 2 nikupe business idea.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Ndugu zangu nahitaji mayai fertilized ya kienyeji na chotara kwa ajili ya kutotolesha nipo DAR ES SALAAM. Kwa yoyote anayepafahamu wanapouza Fertilized egg hapa Dar nahitaji sana.
0 Reactions
20 Replies
5K Views
MIMI NI KIJANA WA MIAKA 25 NAHITAJI MKOPO KUTOKA TAASISI,WATU BINAFSI NA WADAU WA MAENDELEO.PIA NINA KAMPUNI YANGU BINAFSI IMEANZA KUTOA &KUFANYA HUDUMA MBALIMBALI KAMA VILE KUTOA USHAURI WA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ninaomba msaada wenu wajasiriamali maana nimetumia kila sina ya dawa hata sijui tatizo Ni nn wanakufa kidogokidogo nimesoma topic nyingi na nimezifanyia kazi hapa lkn hata sijui tatizo Ni nn.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kama unatafuta rosella basi umeipata. piga 0714 001 824
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Habari gan wana jf leo nimekuja na swali langu la faida gani ntaipata kufungua website au blog nawaomba mnipe ufafanuzi kwa wale wenye uelewa na mambo ya blog na web site. Asanteni.
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Majengo yaliyokuwa yakitumiwa kwa ajili ya Chuo cha Hotel Management yanapangishwa kwa yeyote atayekuwa tayari kuendesha shughuli zake kwenye majengo hayo. Yako Busweli jijini Mwanza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa wataalam wa kilimo,ukilima ekari moja na ikaiva vzuri unaweza pata kiasi gani cha mavuno yaani magunika.kiasi gani?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Sudeki Hatchery ina waletea habari njema kwa wanaotaka kuwekeza kwenye ufugaji wa kuku. Sudeki hatchery ni kampuni iliyosajiliwa na inafanya utotoleshaji wa kuku wa kienyeji aina bora ya Malay...
4 Reactions
43 Replies
8K Views
Hureeeeeee Wafugaji wenzangu leo nina furaha sana..katika safari hii ya ufugaji wa kuku wa kienyeji niliyoanza mwezi wa nane mwaka huu. Leo nimefanikiwa kupata vifaranga 23. Mpango nilionao ni...
1 Reactions
27 Replies
10K Views
Back
Top Bottom