Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

kuku wakubwa wa nyama wanauzwa maeneo ya kibamba, mzigo waweza shushwa popote mjini ... umri ni week 6 ....uzito ni kilo 1.5+ .... bei tshs 6,500/= kwa kuku mmoja mwenye kuhitaji kununua...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wanajf habari zebu nawaleteeni habari njema kwa wale wanaopatikana kanda ya ziwa kuwa tuna pokea order za vifarnga wa kuku wa kienyeji, chotara kienyeji, layers, broilers. Karibuni sana 0683111101
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana JF, Naombeni msaada wa namna ya kuweza kinunua bidhaaa au kuuza kupitia njia ya mtandao mfano Electronics, Cars, Fashion, Collectibles, Coupons and More | eBay Amazon.com: Online...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wapo vifaranga wa Kware - Out of Town Poultry Farm, umri wiki mbili bei TZS 3500 kwa kimoja, wasiliana nami +255785738738. Mayai pia yapo kwa TZS 18000 kwa tray ya mayai 30.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Hi JF Members, I have 4 tons of cashew kernels , the grades are as follows: Contacts: 0767 177 107
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari zenu ndugu zangu, Ninahitaji ng'ombe wadogo wa kisasa (chini ya mwaka 1 prefarably) kwa ajili ya kununua. Nipo Dar es Salaam, aliyenao naomba anipatie bei yake na yupo wapi. Kwa wale wa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari... Wadau nisaidieni..nipate wapi ubuyu wa hivi huku Dar?! Kwa bei ya jumla. Ubuyu wenye ladha ya maembe niupate kila napoutaka. Msaada tafadhali.
1 Reactions
6 Replies
6K Views
NAUZA KOROSHO KUTOKA MTWARA ZILIZOBANGULIWA KATIKA UBORA WA HALI YA JUU SANA. MAWASILIANO : 0767 177 107 Email: john@hawte.co.tz
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ninaomba msaada wa mawazo ya biashara nnayoweza kufanya na trekta. Awali nilikua kwenye kilimo cha mpunga lakini nimeona hakinilipi na trekta lilikua linaharibika mara kwa mara na kunigharimu...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Wakuu, Tunaweza kuzifahamu stable investments, ambapo mtu akihitaji kujiingiza katika uwekezaji huo atapata mafanikio makubwa zaidi baadae... Akhasantenin.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji ndege kware or quail call 0779420000
1 Reactions
578 Replies
106K Views
Poultry farming is one of the most profitable type of farming. Many have made millions from this venture. I can help you to start & run this type of farming for FREE. I walk with you in every step...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Haloo, Nina mshahara mdogo sana pale ninapofanyia kazi nina mke pia, nafanya kazi from sa 7:00 to 5:30 jion, mshahara wangu ni laki mbili tu kwa mwezi, nifanye biashara gani japo nijikimu kidogo...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Naomba ushauri; Naomba kuelekezwa nitaangamiza vipi sisimizi ShambanI? Nataka kulima Nyanya..
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tokea mambo ya ujasiriamali yameanza kupamba moto hapa Tanzania, kumekuwa na upotoshwaji mkubwa sana ambao umekuwa unafanyika kwenye elimu ya ujasiriamali. Upotoshwaji huu umekuwa unafanywa na...
3 Reactions
8 Replies
7K Views
tangazotangazo pikipiki ya miguu mitatu (maarufu kama bajaji)aina ya tvs king inauzwa.imetumika kwa mwaka 1 na miezi 3, iko katikahali nzuri.bei tsh 3,600,000 – mazungumzo yapo. piga simu: 0755252263
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wanaJF?! Natamani sana kufanya biashara ya kutotoa na kuuza vifanga (kuku, bata, etc) na nawaombeni ushauri wenu. Namshukuru Mungu kwani mtaji wa kununua mashine (incubators na...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwa atakae hitaji Asali mbichi toka tabora 12000 kwa lita
0 Reactions
5 Replies
3K Views
nahtaji kujua bei ya v2 hv vwil kwa ajiri ya kujiajiri natanguliza shukuran kwenu.
0 Reactions
10 Replies
39K Views
Habari wana JF natafuta partner wakushirikiana nae kuvuna miti ya mbao aina ya mbula pamoja na mkaa shamba lipo sumbawanga ni ekari 8000 kigezo kikuu uwe na mashine ya kukatia miti lengo hasa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…