Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,358
Naomba wajasiriamali au wafanyabiashara tupeane uzoefu hasa kwenye kuajiri:
1. Unatumia vigezo gani kumuajiri mtu?
2. Unapataje mtu sahihi wa kukufanyia kazi zako?
3. Unatumia vigezo gani kumuamini kumpa aendeshe kitengo kizima?
4. Unatumia vigezo gani kumlipa?
5. Unatumia vigezo gani kufanya "delegation"?
6. Ni wakati gani muafaka wa kufanya "delegation"?
Copy to:
FaizaFoxy Money Stunna Malila Chasha Poultry Farm Kubota Red Giant mexence melo Mike McKee
1. Unatumia vigezo gani kumuajiri mtu?
2. Unapataje mtu sahihi wa kukufanyia kazi zako?
3. Unatumia vigezo gani kumuamini kumpa aendeshe kitengo kizima?
4. Unatumia vigezo gani kumlipa?
5. Unatumia vigezo gani kufanya "delegation"?
6. Ni wakati gani muafaka wa kufanya "delegation"?
Copy to:
FaizaFoxy Money Stunna Malila Chasha Poultry Farm Kubota Red Giant mexence melo Mike McKee
Last edited by a moderator: