Za muda huu watafutaji wenzangu. Mimi nina mambo machache naomba kujuzwa na kusaidiwa kupanua upeo.
Kwa muda sasa nimekuwa na biashara yangu kichwani na kuiandalia business plan. I see myself...
Kwa kweli wadau mimi nilikuwa mbishi sana kuhusu suala la kujiajiri kupitia hii kampuni inaitwa TREVO baadhi mmesikia ama mlishajiunga zamani, mshikaji yeye aliingia siku nyingiiiii, kuanzia mwezi...
habar njema kwa wajasiliamali wenzangu,kwa mahitaji yako ya vifaranga chotara,mayai na kuku piga namba 0789 123461 utahudumiwa haraka,bidhaa zetu ni bora sn.
ndugu Marafiki. Nipo katika wilaya moja huku Kanda ya ziwa. Katika kuhangaikia maisha nimeona ni vyema nikajiingiza katika biashara japo mimi mfanyakazi. Kuna mtu alinipa wazo la kufanya biashara...
Nauza kuku Unaowaona pichani, ni wakubwa wazuri hawana tatizo lolote. Kuna wanaotaga kwa sasa na wanaotarajiwa kuanza kutaga muda wowote kuanzia sasa. Nauza na majogoo wote. Atakayenunua kuanzia...
Kuna msemo unaosema usitazame na kutamani mafanikio ya mtu peke yake, tazama pia na njia alizopitia kufikia mafanikio hayo. Si kwa kilimo pekee ni katika jambo lolote lile ulifanyalo utakumbana...
GREENHOUSE FARMING IN TANZANIA
Greenhouse ni nyumba ya kudumu ilyo zungushiwa kioo ama plastic ambzao humuwezesha mkulima kufanya shughuli zake za kilimo akiwa ndani ya chumba ambacho kina joto...
Wakuu habari zenu? Natumaini wote mu wazima wa afya....MImi nilikuwa naomba ushuri wenu, nina eneo kisarawe lenye ukubwa wa takribani eka kumi sasa kwa ukanda ule wa mkoa wa pwani mnaweza...
Naomba wajasiriamali au wafanyabiashara tupeane uzoefu hasa kwenye kuajiri:
1. Unatumia vigezo gani kumuajiri mtu?
2. Unapataje mtu sahihi wa kukufanyia kazi zako?
3. Unatumia vigezo gani...
Habarini za saa hizi waungwana ?samahan naulizia ni biashara gan ya kutoa vitu vijijin na kuvileta mjini inalipa zaid?naomba msaada wenu tafadhali.asanteni
Kwa yeyote anayefahamu, ninaomba anipe taarifa sehemu gani nitapata unga wa mbegu za mchicha na dawa inayoitwa kupona hapa Dar Es Salaam.
Ahsanteni sana.
nina mil 15 kama kianzio,ninampango wa kufungua duka la jumla la vitu mbali mbali kama unga,sabuni,maji,vocha,sabuni n.k...nipo kimara
mwenye uzoefu na biashara hii naomba aniambie changamoto...
Habari wanajamvi!
Niameamua kujaribu ufugaji wa nguruwe, ila ningependa kuomba ushauri kuhusu mabanda ambayo nimeplan kujenga, Natarajia Kufugia kibamba - Dar es salaam .Kiwanja kina Ukubwa wa...
Habari ndugu wana jamii forum samahani nilikuwa nauliza kama kuna mtu anayafahamu mashirika ya kilimo au ya wakulima Tanzania Naomba anitajie kwani Nina research nataka kuifanya lakini sijajua...
Oriflame has given me and so many other individuals the means to reach for our Dreams..Join my Oriflame family as we Change Lives with Oriflame (smart business) mtu yeyote anaweza akajiunga...
Salaam wakuu. Poleni na majukumu mbalimbali, mimi ni mhitimu wa chuo kikuu shahada ya biashara (Bachelor of Commerce), kwa mda wa miaka minne sasa sijafanikiwa...
Habarini GTs,
ningeomba mwenye ufahamu ni wapi naweza kupata/kununua ng'ombe bora mbegu za kisasa wa maziwa na wa nyama kwa hapa TZ anijulishe ninataka kuanza kufuga somewhere huko rufiji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.