Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
nina mil 15 kama kianzio,ninampango wa kufungua duka la jumla la vitu mbali mbali kama unga,sabuni,maji,vocha,sabuni n.k...nipo kimara
mwenye uzoefu na biashara hii naomba aniambie changamoto zake,process za kufuata ili kuletewa mizigo dukani kwako kama wanavyofanya azam,na pia bidhaa hizi zinapatikana wapi kwa bei nafuu.
naomba kuwasilisha
mwenye uzoefu na biashara hii naomba aniambie changamoto zake,process za kufuata ili kuletewa mizigo dukani kwako kama wanavyofanya azam,na pia bidhaa hizi zinapatikana wapi kwa bei nafuu.
naomba kuwasilisha