asawere
New Member
- Feb 13, 2012
- 3
- 1
Wakuu habari zenu? Natumaini wote mu wazima wa afya....MImi nilikuwa naomba ushuri wenu, nina eneo kisarawe lenye ukubwa wa takribani eka kumi sasa kwa ukanda ule wa mkoa wa pwani mnaweza kunishauri nilime mazao gani ambayo yaweza kukubali na kunipa faida?Vilevile naweza fuga mifugo gani maeneo hayo? Coz sehem yenyewe inashida ya maji kidogo
NAtanguliza shukrani zangu za dhati:scared:
NAtanguliza shukrani zangu za dhati:scared: