Habarini wadau, nina blog inayotembelewa na wadau mpaka 36,000 kwa siku, pia nina page yenye zaidi ya likes 33,000 na group lenye zaidi ya watu 13,000 kama upo dar au mkoa mwingine ambapo watu...
Wanahitajika vijana 20 wa kuuza nguo kwa kutembeza nguo za mitumba za wadada, wamama na watoto,kutafuta masoko mbalimbali mfano maofisini, vyuoni, mitaani n.k
Malipo ni kwa siku.
VIGEZO:
Awe...
Vifaranga wa siku moja, week moja, week mbili na week tatu wanapatikana kwa wingi.
Hawa wafugaji wako Mbele ya Tegeta Dar es Salaam, lakini wanauwezo wa kukuletea vifaranga mahali ulipo kwa...
Habari wana JF,
Nahitaji vifaranga vya kuku wa kienyeji kwa ajili ya kufuga..Mimi ndo kwanza naanza kufuga kuku wa kienyeji.
Pia naomba ushauri nianze kufuga kuku wangapi.Matarajio yangu ni kuwa...
UJASIRIAMALI---UFUGAJI BORA WA KUKU WA KIENYEJI
Idadi ya wanyama wanaofugwa kwa chakula imezidi ile ya binadamu zaidi ya mara mbili kote ulimwenguni. Kuna maelfu ya wanyama kote duniani...
Wadau hebu tembelea hii link, mwawezaongeza kipato ktk maisha. kila la heri
CashWeGo.com - Earning website for Students, Job-less people and House wife
Wadau nina asali ya Tabora na karanga. Ziko lita 60 za asali kwa mwenye kuhitaji. Pia kama kuna anayefahamu soko la uhakika kwa regular supply. Asanteni
elnino, Mlachake, GAZETI, Malila...
Habari humu jamvini, Nina plot ambayo ipo kilometer 8 kutoka uwanja wa ndege KIA(Kilimanjaro International Airport) yenye ukuwa wa meter square 4500 na pia ina hati na ipo barabarani kabisa Arusha...
Tunauza mayai na vifaranga vya kware kwa bei nafuu sana kwa ambaye anatamani kujua jinsi ya kufuga, bei ya mayai na vifaranga na mengineo tunapatikana tabata changombe na kwa mawasiliano zaidi...
Naomba mwongozo wa ufugaji wa nguruwe kwani nina kijieneo changu huko zingiziwa nje kidogo ya jiji la dar ambacho nilitaka nikitumie kwa kufuga ama kuku wa kienyeji au nguruwe
JIUNGE NA HOPE NA SUCCESS CLUB (HIP CLUB) KWA MAFANIKIO YAKO
1. UTANGULIZI
HIP Club ni chama cha kijamii kilichoanza kazi zake tarehe 3 Machi 2014 na Kupata usajili kwa mujibu wa sheria ya...
Habari wana jf...naamin wote wazima na mwaendelea vema kusukuma gurudumu la taifa ...mimi ni binti nilieamua kujiajiri..nashughulika na mapishi aina yote..napika vyakula vya kila aina..naomba...
Je una mayai lakini huna mashine ya kutotoresha na unaishi maeneo ya kanda ya ziwa hasa karibu na kahama. Huduma hii inapatikana njoo na mayai ili upate kutotoreshewa. Hii ni kwa ajili ya watu...
Kilimo cha Red worm kwa huku kwetu bado tuko nyuma ila kwa wenzetu Red worm ni biashara na red worm ina kaz nyingi sana na faida kubwa mno.
1. Kulishia kuku- Ina kiwango kibwa sana cha protein...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.