Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Habarini wadau, nina blog inayotembelewa na wadau mpaka 36,000 kwa siku, pia nina page yenye zaidi ya likes 33,000 na group lenye zaidi ya watu 13,000 kama upo dar au mkoa mwingine ambapo watu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanahitajika vijana 20 wa kuuza nguo kwa kutembeza nguo za mitumba za wadada, wamama na watoto,kutafuta masoko mbalimbali mfano maofisini, vyuoni, mitaani n.k Malipo ni kwa siku. VIGEZO: Awe...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wakuu! Nipo dar es salaam naomba kujuzwa sehemu ninazoweza kupata tray za kuwekea mayai ya kware.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Vifaranga wa siku moja, week moja, week mbili na week tatu wanapatikana kwa wingi. Hawa wafugaji wako Mbele ya Tegeta Dar es Salaam, lakini wanauwezo wa kukuletea vifaranga mahali ulipo kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana JF, Nahitaji vifaranga vya kuku wa kienyeji kwa ajili ya kufuga..Mimi ndo kwanza naanza kufuga kuku wa kienyeji. Pia naomba ushauri nianze kufuga kuku wangapi.Matarajio yangu ni kuwa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
  • Redirect
UJASIRIAMALI---UFUGAJI BORA WA KUKU WA KIENYEJI Idadi ya wanyama wanaofugwa kwa chakula imezidi ile ya binadamu zaidi ya mara mbili kote ulimwenguni. Kuna maelfu ya wanyama kote duniani...
14 Reactions
Replies
Views
Clean, excellent condition-Only for serious buyers...0655647760
0 Reactions
0 Replies
797 Views
Clean, good condition
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Wadau hebu tembelea hii link, mwawezaongeza kipato ktk maisha. kila la heri CashWeGo.com - Earning website for Students, Job-less people and House wife
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nina asali ya Tabora na karanga. Ziko lita 60 za asali kwa mwenye kuhitaji. Pia kama kuna anayefahamu soko la uhakika kwa regular supply. Asanteni elnino, Mlachake, GAZETI, Malila...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari humu jamvini, Nina plot ambayo ipo kilometer 8 kutoka uwanja wa ndege KIA(Kilimanjaro International Airport) yenye ukuwa wa meter square 4500 na pia ina hati na ipo barabarani kabisa Arusha...
0 Reactions
0 Replies
673 Views
Tunauza mayai na vifaranga vya kware kwa bei nafuu sana kwa ambaye anatamani kujua jinsi ya kufuga, bei ya mayai na vifaranga na mengineo tunapatikana tabata changombe na kwa mawasiliano zaidi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Redirect
Naomba mwongozo wa ufugaji wa nguruwe kwani nina kijieneo changu huko zingiziwa nje kidogo ya jiji la dar ambacho nilitaka nikitumie kwa kufuga ama kuku wa kienyeji au nguruwe
0 Reactions
Replies
Views
ni mgeni hapa Dar, niko na kazi zangu ambazo nitaka kuziprinti ni business card, naomba jua ni wapi ninakoweza kufanya printing
0 Reactions
1 Replies
866 Views
CAMARADOR CAMP – MWANZA CITY Mwana JF uliyeko Mwanza na yeyote anayetegemea kutembelea jiji la Mwanza; unakaribishwa kujumuika na wastaarabu Camarador Camp iliyo Barabara ya Nyerere (Igoma –...
0 Reactions
0 Replies
914 Views
JIUNGE NA HOPE NA SUCCESS CLUB (HIP CLUB) KWA MAFANIKIO YAKO 1. UTANGULIZI HIP Club ni chama cha kijamii kilichoanza kazi zake tarehe 3 Machi 2014 na Kupata usajili kwa mujibu wa sheria ya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari wana jf...naamin wote wazima na mwaendelea vema kusukuma gurudumu la taifa ...mimi ni binti nilieamua kujiajiri..nashughulika na mapishi aina yote..napika vyakula vya kila aina..naomba...
1 Reactions
2 Replies
828 Views
Je una mayai lakini huna mashine ya kutotoresha na unaishi maeneo ya kanda ya ziwa hasa karibu na kahama. Huduma hii inapatikana njoo na mayai ili upate kutotoreshewa. Hii ni kwa ajili ya watu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kilimo cha Red worm kwa huku kwetu bado tuko nyuma ila kwa wenzetu Red worm ni biashara na red worm ina kaz nyingi sana na faida kubwa mno. 1. Kulishia kuku- Ina kiwango kibwa sana cha protein...
4 Reactions
47 Replies
10K Views
Habari zenu, Nauza mayai ya kuku wa kisasa tray moja Shs 6000/= .Nipo Dar es salaam. kwa anaehitaji ni PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom