Habari zenu wanajukwaa. Naamini ni kwa rehema za Mungu kufika hapa hata pia kutupa akili na mtaji kidogo na kuwaza la kufanya. Nimenunua shamba Morogoro lisilopungua Hekari kumi ila naumiza kichwa...
Wakuu,mimi nakaa hapa Moshi karibu na soko la mitumba memorial,nilikua nataka kuwa nanunu mitumba hapa napeleka Bariadi na shinyanga ila sasa sina uzoefu na.biashara hii
Sasa naomba ushauri...
Habari wakuu
Mimi kijana mwenzenu katika harakati za maisha na kutafuta nilipata na kuumia sana hatimaye nikapata idea ya kibiashara cha mtaji mdogo,bimkubwa wangu alikua mtaalamu sana wa kupika...
PUNGUZO KUBWA LA BEI YA MATREKTA YANAYOUZWA NA SUMA JKT - JANUARI 2012
Na
TREKTA
BEI YA ZAMANI Machi 2011
BEI MPYA
Januari 2012
PUNGUZO
%
1.
Farmtrac 60(50 HP; 2wd)...
habari wanajf
mimi ni kijana wa kike umri 23,elimu yangu kidato cha 4,,nimejitahid kufanya vibarua vya hapa na pale na kuweza kusave kiasi cha pesa cha tsh 200,000...
kama swali...
NATAFUTA SOKO LA ASALI ya nyuki wakubwa kwa wadogo JIJINI DAR ES SALAAM NA MJINI MOROGORO. Kwa yeyote anayefahamu wanunuzi wa asali ktk miji hiyo naomba wanisaidia kujua ni nani wanunuzi na...
habar zenu wakuu, naombeni msaada plz, nakusudia kuanzisha mradi wa stationery sehem flan iv. Je unadhan ni mtaji kama wa kiasi gani unaweza kutosha kuanzisha biashara hiyo na angalau kuweza...
Kwenye makala iliyopita tulijifunza jinsi ya kujua faida halisi ya biashara yako. Na tuliona kwamba faida halisi sio mauzo kutoa manunuzi, bali unahitaji kuweka na gharama za biashara pia. Kama...
Habari wadau wangu wapambanaji wa dhati wa kutaka kuuondoa umasikini kwa njia ya kujiajari kupitia kipawa na experience za watu. Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sna wa mambo ya uwekezaji kupitia...
Habari za jioni,
Nimepata mtaji wa TSH 2,000,000.
nataka kufanya biashara ya kukopesha hapa mahala ni kijijini lakini si Sana na Kuna waajiliwa wengi WA sector mbali mbali wa Afya na...
Semina ya Ujasirimali mjini Mkoaranga tarehe 12/09/2015
Umesikia kuna wanaofanya biashara kubwa bila ya kuwa na mtaji wa kuanzia????
Sasa fursa hiyo imekufikia EWE MWANA MKOARANGA, DSM na...
Habari! Tu vijana 15 tumeunda kikundi chetu chenye malengo chanya kiuchumi. Sasa nimekwenda bank kufungua akaunti yetu nimekutana na masharti tofauti kwa kikundi kilichasajiliwa na ambacho...
Habari
nina eneo dogo nalikodisha kwa mtu anayetaka kufanya biashara yake hasa ya kufyatulia matofali au kuuza vitu au vifaa vya ujenzi liko mbagala mbande - chamanzi kama mtu anahitaji kukodi...
Habarini ndugu wanaJF wajasiriamali;
Kuna sehemu nimeiona fursa ya biashara ya matunda na kiukweli nimeifanyia uchunguzi na kuona naweza kutokea hapo ningependa kufahamu yafuatayo kwa wazoefu wa...
Wakuu,
Nina biashara ya stationary kutoa copy na ku print. Kamtaji kangu bado ni ka sungura kadogo ila nahitaji kufika mahali.
Naombeni msaada juu ya mbinu za kuboresha ili nami niweze...
habar wanaJF
kwa yeyote mwenye uzoefu juu ya soko la hisa please share
kwa mfano nataka kununua hisa kwenye kampuni flani, ntapaje faida? na je kampuni ikifilisika haki yangu ikoje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.