Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

wakuu itifak imezngatiwa. nataka kuanza iyo biashara ila mtaji wangu ni mdogo ,,natafuta mtu mwenye mtaji mkubwa ili tukienda kununua ng'ombe nitakuwa naongozana nae mikoani kuleta dsm...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini wakuu, Naomba nifahamishwe ni wapi kilipo chuo kizuri na kinachofundisha kiutendaji zaidi katika fani ya ushonaji hapa Tanzania. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
11 Replies
7K Views
ELIMU BIASHARA MAISHA SI YA BABAAKO Maisha bana raha sana, haswa ukiwa unayaishi vile unataka au unatamani wewe. Japo yana changamoto zake, hatukatai ila unazikabili vipi. Maisha ni yako wewe...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, Natumaini Nyote mu wazima wa afya. Nahitaji vifaranga aina ya kuroiler aged from 1 day to 1 month....au mwenye network anipatia mawasiliano ya mwenyenavyo me napatikana Mwanza!! 0754542300
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mafunzo ya kilimo cha ufuta
0 Reactions
0 Replies
3K Views
ELIMU BIASHARA MAGUMU YASIKUTISHE Wengi wanaacha kutimiza malengo mara magumu yanapotokea lakini magumu ni kichocheo cha kuinoa akili yako kutenda katika viwango vya juu vya ubora lakini zaidi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
yeyote anayefanya biashara hii au kuna mtu anayemjua anayefanya naomba ani PM tuongee.
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Ninauza kwale nipo Dodoma mmoja shiling Tshs 20,000 Kwa Mawasiliano 0718394896 na 0684 244 291
0 Reactions
0 Replies
889 Views
Habari wadau, Naomba kujua taratibu za mimi kuanza kukopesha pesa kwa watu kwa dhamana na rejesho kwa riba. Mpango ni kuanza local tu bila kampuni, hii kitu inawezekana na ina wateja??
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Wakuu 3 mil naweza anzisha duka la jumla maeneo ya mbagala charambe? Msaada plz kwa wazoefu
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wapendwa. Naomba mchango wenu, kwa wale waungwana na wenye uelewa jinsi ya maisha yalivyo hivi sasa. Ni kijana nilie jiajiri kwenye fani ya ufugaji wa kuku wa kisasa na kienyeji, nina...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za muda huu, poleni na majukumu Wadau ninaomba mnishauri, Mimi ni mfanyakazi katika kampuni ya watu binafsi, huwa ninakua free kila siku kuanzia saa kumi jioni, wkend huwa siendi kazini...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Napenda Kutumia Fursa Hii Kuwajuza Wale Wanaotaka "kujaribu" Ujasiriamali Kwamba Hiyo Ni Moja Kati Ya Wazazi Wa Matatizo Na Changamoto Lukuki! Ukitaka Kufanya Ujasiriamali Ufanye Tu Kwa Moyo...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ajira sio salama tena kama ilivyokuwa zamani. Kwa sasa maisha yamekuwa ghali huku kipato cha ajira kikiwa hakitoshelezi. Hii inawafanya waajiriwa wengi kufikiria kuingia kwenye biashara. Lakini...
4 Reactions
17 Replies
10K Views
wadau mi nimeanza kufuga ng'ombe wa kisasa ila nashindwa kuelewa ni muda gani wa kupandishia ili wabebe mimba ndio sielewi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani waungwana naomba kuuliza je, mayai ya kisasa naweza mpa kuku wa kienyeji alalie nipate vifaranga...??? Au mpaka kutotolesha kwa mashine...??? Au haiwezekani kabisa...???? Na kama...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini wanajamvi,natambua kuwa wapo watu wengi wanahela zao lakini hawana uhakika wawekeze kwenye kitu gani, Kama tunavyojua kwa dar es salaam Vyombo vya barabarani Kama pikipiki,Bajaji,Gari...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za Leo Wakuu, Husika na Somo Tajwa Hapo Juu, Nna Biashara yangu Ina Run ipo maeneo ya Tandika Magorofani Karibu na Chuo cha Bandari pamoja na Chuo cha Utalii pembeni Mwa Hospital mpya...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Any ideas please. Challenges pia. Mawasiliano: 0713 291 947
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hello wana JF, Nataka kufungua pub Dar Moshi na Arusha Naomba ideas kwa watalaaam please
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom