Semina ya Ujasirimali mjini Mkoaranga tarehe 12/09/2015
Umesikia kuna wanaofanya biashara kubwa bila ya kuwa na mtaji wa kuanzia????
Sasa fursa hiyo imekufikia EWE MWANA MKOARANGA, DSM na...
Habari! Tu vijana 15 tumeunda kikundi chetu chenye malengo chanya kiuchumi. Sasa nimekwenda bank kufungua akaunti yetu nimekutana na masharti tofauti kwa kikundi kilichasajiliwa na ambacho...
Habari
nina eneo dogo nalikodisha kwa mtu anayetaka kufanya biashara yake hasa ya kufyatulia matofali au kuuza vitu au vifaa vya ujenzi liko mbagala mbande - chamanzi kama mtu anahitaji kukodi...
Habarini ndugu wanaJF wajasiriamali;
Kuna sehemu nimeiona fursa ya biashara ya matunda na kiukweli nimeifanyia uchunguzi na kuona naweza kutokea hapo ningependa kufahamu yafuatayo kwa wazoefu wa...
Wakuu,
Nina biashara ya stationary kutoa copy na ku print. Kamtaji kangu bado ni ka sungura kadogo ila nahitaji kufika mahali.
Naombeni msaada juu ya mbinu za kuboresha ili nami niweze...
habar wanaJF
kwa yeyote mwenye uzoefu juu ya soko la hisa please share
kwa mfano nataka kununua hisa kwenye kampuni flani, ntapaje faida? na je kampuni ikifilisika haki yangu ikoje?
Watu wa Mkoaranga na majirani wake DSM na Morogoro, fursa adimu imewadia.
JE UNAPENDA BIASHARA YA KISASA?
JE UNAPENDA KUPATA ELIMU YA BIASHARA?
JE HUNA MTAJI?
JE UNA MTAJI KIDOGO NA HUNA CHA...
Wataalamu, Ninafuga kuku wa kienyeji. Mara baada ya kuku kutotolewa huwa nawachukua na kuwaifadhi tofauti na Mama yao. Mazingira ninayo ishi hakuna Umeme.
Naomba kujua ni njia gani bora naweza...
Habar wadau.
Hivi vi2 viwil huwa vinanisumbua sana.
E.g; kwa kuanzia milion moja
Je ni kipi kinalipa zaid na kwa Bank gan?
Msaada plz kwa mwenye kujua maana nataka ni-Invest somewhere..
Karibu ndg ujiunge nami ktk kujiajiri kwa kutumia mtaji mdogo wa sh elfu26000 tu,na utaweza kujiingizia kipato kikubwa kwa muda mfupi baada ya kupewa mbinu na mafunzo yatakayo kuwezesha kujua na...
Bidhaa mpya! Ni dawa za kuku kuwakinga na kideli, dawa za ng'ombe, mbuzi, nguruwe nk. Kwaajili ya minyoo.
Binadamu: Zipo dawa za meno, tumbo kujaa gesi, kunyonga, n.k. Dawa za fangasi na m-ba...
habar ndg za kaz, naitwa hafidh nimejitokeza kwenu kutafuta mzamin au tajir atakae weza ninunulia noah au ata km anayo kunikabidh kwa ajir ya kaz mm ni dereva ntakua nakuletea hesabu kila cku kiac...
Habarini wakuu,
rejea kichwa cha habari hapo juu.asali mbichi kutoka tabora inapatikana kwa jumla.
20ltrs - 200,000tshs. Maelewano yapo.
Ni-pm kama wahitaji.
Shukrani.
Habari wana JF,
Ndoto zangu ni kumiliki Garage.
Ningependa kujua yafuatayo;
1.Gharama za kuanzisha Garage.
2.Sehemu nzuri kwa shughuli hii inapaswa iweje
3.Usimamizi wa Garage upo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.