Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Semina ya Ujasirimali mjini Mkoaranga tarehe 12/09/2015 Umesikia kuna wanaofanya biashara kubwa bila ya kuwa na mtaji wa kuanzia???? Sasa fursa hiyo imekufikia EWE MWANA MKOARANGA, DSM na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari! Tu vijana 15 tumeunda kikundi chetu chenye malengo chanya kiuchumi. Sasa nimekwenda bank kufungua akaunti yetu nimekutana na masharti tofauti kwa kikundi kilichasajiliwa na ambacho...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari nina eneo dogo nalikodisha kwa mtu anayetaka kufanya biashara yake hasa ya kufyatulia matofali au kuuza vitu au vifaa vya ujenzi liko mbagala mbande - chamanzi kama mtu anahitaji kukodi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini ndugu wanaJF wajasiriamali; Kuna sehemu nimeiona fursa ya biashara ya matunda na kiukweli nimeifanyia uchunguzi na kuona naweza kutokea hapo ningependa kufahamu yafuatayo kwa wazoefu wa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu, Nina biashara ya stationary kutoa copy na ku print. Kamtaji kangu bado ni ka sungura kadogo ila nahitaji kufika mahali. Naombeni msaada juu ya mbinu za kuboresha ili nami niweze...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habar wanaJF kwa yeyote mwenye uzoefu juu ya soko la hisa please share kwa mfano nataka kununua hisa kwenye kampuni flani, ntapaje faida? na je kampuni ikifilisika haki yangu ikoje?
0 Reactions
0 Replies
905 Views
Jamani naomba kufahamu bei ya mashine ya kufyatua tofali (njanja) please
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Watu wa Mkoaranga na majirani wake DSM na Morogoro, fursa adimu imewadia. JE UNAPENDA BIASHARA YA KISASA? JE UNAPENDA KUPATA ELIMU YA BIASHARA? JE HUNA MTAJI? JE UNA MTAJI KIDOGO NA HUNA CHA...
0 Reactions
0 Replies
934 Views
wadau wanao penda ufugaji,bata mzinga wanauzwa kuanzia 120,000= hadi laki 250,000/ kwa kila mmoja!! mawasiliano ni 0719909267
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Redirect
Habari wandugu. Naomba uzoefu wa kuendesha duka la kawaida. Linalouza bidhaa za majumbani kama chakula na vinywaji.
0 Reactions
Replies
Views
Wataalamu, Ninafuga kuku wa kienyeji. Mara baada ya kuku kutotolewa huwa nawachukua na kuwaifadhi tofauti na Mama yao. Mazingira ninayo ishi hakuna Umeme. Naomba kujua ni njia gani bora naweza...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Nahitaji mbegu za tikiti maji F1. tafafhali kwa anaejua inauzwa bei gani na inapatikana wapi. Asante.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habar wadau. Hivi vi2 viwil huwa vinanisumbua sana. E.g; kwa kuanzia milion moja Je ni kipi kinalipa zaid na kwa Bank gan? Msaada plz kwa mwenye kujua maana nataka ni-Invest somewhere..
0 Reactions
0 Replies
980 Views
Karibu ndg ujiunge nami ktk kujiajiri kwa kutumia mtaji mdogo wa sh elfu26000 tu,na utaweza kujiingizia kipato kikubwa kwa muda mfupi baada ya kupewa mbinu na mafunzo yatakayo kuwezesha kujua na...
0 Reactions
1 Replies
915 Views
Bidhaa mpya! Ni dawa za kuku kuwakinga na kideli, dawa za ng'ombe, mbuzi, nguruwe nk. Kwaajili ya minyoo. Binadamu: Zipo dawa za meno, tumbo kujaa gesi, kunyonga, n.k. Dawa za fangasi na m-ba...
0 Reactions
0 Replies
977 Views
habar ndg za kaz, naitwa hafidh nimejitokeza kwenu kutafuta mzamin au tajir atakae weza ninunulia noah au ata km anayo kunikabidh kwa ajir ya kaz mm ni dereva ntakua nakuletea hesabu kila cku kiac...
0 Reactions
0 Replies
781 Views
Heshima kwenu... Natafuta mayai ya kuku wa malawi ya kutotolesha... Nahitaji tray 12... Nipo Rufiji, mwenye nayo tafadhali tuwasiliane.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habarini wakuu, rejea kichwa cha habari hapo juu.asali mbichi kutoka tabora inapatikana kwa jumla. 20ltrs - 200,000tshs. Maelewano yapo. Ni-pm kama wahitaji. Shukrani.
0 Reactions
0 Replies
819 Views
Habari wana JF, Ndoto zangu ni kumiliki Garage. Ningependa kujua yafuatayo; 1.Gharama za kuanzisha Garage. 2.Sehemu nzuri kwa shughuli hii inapaswa iweje 3.Usimamizi wa Garage upo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahitaji chupa za plastic mil 100, 150 , & 200.. Naombeni msaada nitazipata viwanda gani
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Back
Top Bottom