Mawazo huru
Member
- Jul 7, 2011
- 13
- 1
NATAFUTA SOKO LA ASALI ya nyuki wakubwa kwa wadogo JIJINI DAR ES SALAAM NA MJINI MOROGORO. Kwa yeyote anayefahamu wanunuzi wa asali ktk miji hiyo naomba wanisaidia kujua ni nani wanunuzi na wanapatikana wapi na wananunua kwa bei gani. ASANTENI