ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,462
Habari
nina eneo dogo nalikodisha kwa mtu anayetaka kufanya biashara yake hasa ya kufyatulia matofali au kuuza vitu au vifaa vya ujenzi liko mbagala mbande - chamanzi kama mtu anahitaji kukodi na kufanya biashara nilizozitaja hapo karibu niPM KWA Biashara zaidi
pale panafaa biashara ya aina hizo kwani watu kule wanajenga wengi mno na upatikanaji wa vifaa hakuna wala upatikanaji wa matofali ni mdogo sana
karibuni kwa biashara
nina eneo dogo nalikodisha kwa mtu anayetaka kufanya biashara yake hasa ya kufyatulia matofali au kuuza vitu au vifaa vya ujenzi liko mbagala mbande - chamanzi kama mtu anahitaji kukodi na kufanya biashara nilizozitaja hapo karibu niPM KWA Biashara zaidi
pale panafaa biashara ya aina hizo kwani watu kule wanajenga wengi mno na upatikanaji wa vifaa hakuna wala upatikanaji wa matofali ni mdogo sana
karibuni kwa biashara