Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Habari msomaji wa uzi huu. Nimependa kuwashirisho hili kwa atakayehitaji aweze kufaidika. Natarajia kufungua kampuni itakayohusika na mambo ya fedha na uwekezaji, hivyo kwa atakaye taka kuingia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari...Natafuta shamba la kununua Arusha lenyewe ukubwa kuanzia nusu heka na kuendelea. Napendelea sana maeneo ya Ngaramtoni hasa Redio habari maalum... Kama unafahamu muuzaji ama dalali wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
naomba msaada nahitaji hizi chemical zifuatazo 1. Campden Tablet 2 Tannin 3. na hiki kifaa " HYDROMETER " Ntashukuru sana kwa msaada nitakaopata kwa mwenye kujua wapi naweza kuzipata
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninatafuta tender katika hotel kubwa na restaurants, mboga za aina tofauti tofauti kulingana na mahitaji yako. Namba: 0785281001
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habarini wadau.. Kwa anayefahamu bei za water pumps ndogo(manual) na upatikanaji wake naomba anifahamishe tafadhali...nina shida nayo.
1 Reactions
32 Replies
17K Views
Tunasafirisha mikoani pia. Namba yetu ni 0684 043 222
0 Reactions
11 Replies
2K Views
INSIGHTS INTO THE MINDSET OF SUPER TRADERS – Part 13 "Losing money is the least of my troubles. A loss never bothers me after I take it. I forget it overnight." - Jesse Livermore Name: Kenneth...
0 Reactions
0 Replies
586 Views
hbri, kuna chumba na sebule choo ndani 70,000kwa mwezi. makoka....ina silinbod, rangi, gari mpaka mlangoni... changamkia ofa.. kwa maelezo.zaid.. nichek kwa pm
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau, Baada ya kujikusanya nimeona ni vyema nikawekeza hiki kidogo nilichonacho katika ufugaji wa kuku! Kama kichwa kivyojieleza, nahitaji kuku wa kienyeji wa malawi kwa ajili ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kama tunavojua kila mtu anacho kipato kwa kuptia njia yoyote ya kufanya kazi lakn kutokana na ugumu wa maisha tunajikuta watu hela hazitoshi Na kila ukifkria biashara ya kufanya unakuta wenzako...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Afisa Mtendji Mkuu wa Shaer illusions mama Shekha Nasser Akiwaeleza jambo washiriki wa Semina ya Ujasiriamlai ( hawapo pichani) Namna ya Kujitangaza kwa Kutumia njia mbalimbali , kuwahudumia na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salama wakuu, Ni kwa wale wakulima wa vitunguu, kama wewe ni mkulima wa kitunguu unayetarajia kuvuna au ushavuna vitunguu vyako na unatafuta soko tuwasiliane ndugu yangu.Unaweza kupata soko.
0 Reactions
9 Replies
5K Views
habari wana JF poleni na mihangaiko ya kimaisha. Naomba yeyote mwenye uelewa wa hii Biashara ya Ngombe kununua mikoani mfano Dodoma na kisha kuuza Dsm au Morogoro naomba ushauri tafadhari.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naitwa Esther nipo Morogoro. Nauza kuku wa kienyeji mwenye uhitaji naomba nipigie au kutuma sms kwenye namba 0763592111 au 0658308754 karibuni sana. Ukipiga au kutuma sms ndo utapata bei
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naitwa Esther nipo Morogoro. Nauza kuku wa kienyeji ambao hawajachinjwa. Bei ni nafuuu. Kwa yeyote atakayetaka anijuze kwa namba 0763592111 au 0658308754. Unaweza piga au kutuma SMS na hapo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jumapili saa tisa alasiri tarehe 13. 09. 2015 club ya wazee ilala kutakuwa na mkutano wa wafugaji kuku mkoa wa DSM siku ya jumapili kujadili juu ya upandaji wa bei ya chakula cha kuku na madawa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa anefaham mashine nzuri za kupasua mbao, gharama yake pia kama nataka nifanye biashara hii utaratibu wake upoje nisaidieni tafadhali
0 Reactions
0 Replies
2K Views
are you in Tanzania and looking for assistance in fish farming? are you looking for fish seed or feed?? contact me 0717451771. for consultation and advice
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habar zenu, yeyote aliyeko/ anayeishi morogoro mwenye wazo zuri na bora la biashara lakin mtaji wake hautoshi kutekeleza wazo hilo na soko la biashara hiyo ni la uhakika,japo soko la biashara hiyo...
0 Reactions
0 Replies
965 Views
Back
Top Bottom