Watu wa Mkoaranga na majirani wake DSM na Morogoro, fursa adimu imewadia.
JE UNAPENDA BIASHARA YA KISASA?
JE UNAPENDA KUPATA ELIMU YA BIASHARA?
JE HUNA MTAJI?
JE UNA MTAJI KIDOGO NA HUNA CHA...
Wataalamu, Ninafuga kuku wa kienyeji. Mara baada ya kuku kutotolewa huwa nawachukua na kuwaifadhi tofauti na Mama yao. Mazingira ninayo ishi hakuna Umeme.
Naomba kujua ni njia gani bora naweza...
Habar wadau.
Hivi vi2 viwil huwa vinanisumbua sana.
E.g; kwa kuanzia milion moja
Je ni kipi kinalipa zaid na kwa Bank gan?
Msaada plz kwa mwenye kujua maana nataka ni-Invest somewhere..
Karibu ndg ujiunge nami ktk kujiajiri kwa kutumia mtaji mdogo wa sh elfu26000 tu,na utaweza kujiingizia kipato kikubwa kwa muda mfupi baada ya kupewa mbinu na mafunzo yatakayo kuwezesha kujua na...
Bidhaa mpya! Ni dawa za kuku kuwakinga na kideli, dawa za ng'ombe, mbuzi, nguruwe nk. Kwaajili ya minyoo.
Binadamu: Zipo dawa za meno, tumbo kujaa gesi, kunyonga, n.k. Dawa za fangasi na m-ba...
habar ndg za kaz, naitwa hafidh nimejitokeza kwenu kutafuta mzamin au tajir atakae weza ninunulia noah au ata km anayo kunikabidh kwa ajir ya kaz mm ni dereva ntakua nakuletea hesabu kila cku kiac...
Habarini wakuu,
rejea kichwa cha habari hapo juu.asali mbichi kutoka tabora inapatikana kwa jumla.
20ltrs - 200,000tshs. Maelewano yapo.
Ni-pm kama wahitaji.
Shukrani.
Habari wana JF,
Ndoto zangu ni kumiliki Garage.
Ningependa kujua yafuatayo;
1.Gharama za kuanzisha Garage.
2.Sehemu nzuri kwa shughuli hii inapaswa iweje
3.Usimamizi wa Garage upo...
Naona wajasiriamali wengi tunajitahidi kufuga na kulimalakini taarifa hasa za masoko..wapi ambapo mjasiriamali apeleke mzigo wake kwa wingi haziko clear....mfano mtu kafuga kuku wake wa nyama 4000...
Looking for partiners in Opening a small industry - Looking for partiners in Opening a small industry
Looking for partiners in Opening a small industry
Wana JF hebu mnisaidie hapa, naona mara nyingi vyombo vya habari vinawataja wafanyabiashara wote kuwa ni wajasiri amali hata wale machinga wanaopanga bidhaa zao barabarani.
Hivi ni kweli kuwa...
Habari za leo wadau,
Nimekuwa na Kuku wa Mayai Kwa Mwaka Sasa, wametaga kiasi chake ingawa kwa kipindi cha mwezi sasa wamesitisha kutaga, so tangu walipoamua kugoma huko nami nimewabadilishia...
Msaada tafadhali,
Kutatua tatizo hilo. Chakula chenye virutubisho vyote wanapata na maji vyakutosha, pia wana sehemu nzuri za kutagia na kutotolea. Kwa ujumla huduma zote wanapata., ila tatizo...
Make a commitment to yourself to succeed. Tell your self it is okay to ‘fail'. Remember, if you are not failing you are not trying something new, therefore are unlikely to be succeeding...
ELIMU BIASHARA
UJASIRIAMALI NI UJENZI
Ujasiriamali huwa unaanzia mbali toka kwenye kuzaliwa kwa idea mpaka kuja kusimama. Siku zote ujenzi wa Msingi unaanziaga chini kwenda juu, hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.