Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wadau habari zenu, Nahitaji kufanya business ila sina wazo business gani nianze capital au mtaji ni one million naomba ushauri jamani ni biashara gani naweza kuaza kwa hiyo capital...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Balozi wa Luv touch Manjano Irene Pul Katika Picha ya Pamoja na washiriki wa Semina ya ujasiriamlai ya wanawake kwa kupitia Vipodozi vya Luv Touch manjano iliyochini ya Manjano foundation.Lengo la...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nahitaji kufanya biashara ya vitenge nichukue Congo niuze tz naomba MTU mwenye uzoefu anijuze naweza fanya biashara hiyo bila kusafiri kwenda Congo?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hello wanajamii.....mimi ni JAPHET CHARLES MUNNAH ni Laboratory Technician katika wilaya ya Missenyi mkoani Kagera. Natafuta mtu yeyote tubadilishane aje Missenyi; Kagera na mimi niende wilaya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habarini wadau, Pengine katika kujiongezea upeo, kwa wale wenye exposure zaidi. Ningependa kujua fursa zipatikanapo kwa wajasiriamali wadogo kwa wakubwa, maana nchini kumekuwa na viwanda vingi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimedunduliza vipesa kidogo nimepata 3milions, nataka kufungua grocery, itafaa wapendwa? Je nikiongeza na chips na mishikaki hapohapo grocery itafaa au mshika mengi hukosa vyote? Nitaajiri...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
mwenye uzoefu na hii biashara Anipe Hints kidogo niweze kupata MWANGA!!!
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Nina mil 8 na laki 3 nipo Geita naomba ushauri nifanye biashara gani...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Biashara za aina hii zina changamoto zake;mara nyingi wakati wa kufunguliwa kwa biashara za namna hii wateja hua wanamimi nika kama mvua lakini baada ya muda wateja huanza kupotea mmoja baada ya...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Msaada kuku wangu wanakufa! Sijui ni nini? Wakianza kutaga wanakufa either wakilalia au second time ya kutaga, sijajua ni nini? Ananyongea for one day, second day anakufa. Msaada jamani.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kutokana na jua kali kipindi cha kiangazi huwa mbogamboga hazistawi vizuri pia kipindi cha mvua mbogamboga hazistawi vizuri kutokana na mvua nyingi. Je, kunauwezekano wa kuezeka shamba unalolima...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wadau habari zenu, Naomba kufahamu taasisi,jumuiya au wataalamu fulani wanaotoa semina ya Ujasiriamali. Nina Mwaka mmoja sasa tokea nianze biashara yangu ya duka la rejareja hapa morogoro...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu, Naomba fahamishwa mahali wanaponunua asali mbichi kwa bei ya jumla hapa Dar na ni bei gani kwa dumu la Lita 20.Natafuta soko hilo niweze kuuza dumu kama 20 hivi ambazo ninazo...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
ELIMU BIASHARA NI UWEZO WAKO Kufanya maamuzi mara nyingi huwa inategemea na nini kipo kichwani kwako na nini unafahamu kuhusu hicho kitu cha kufanyia maamuzi. Uwezo wa kutambua jambo na uwezo wa...
4 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari msomaji wa uzi huu. Nimependa kuwashirisho hili kwa atakayehitaji aweze kufaidika. Natarajia kufungua kampuni itakayohusika na mambo ya fedha na uwekezaji, hivyo kwa atakaye taka kuingia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari...Natafuta shamba la kununua Arusha lenyewe ukubwa kuanzia nusu heka na kuendelea. Napendelea sana maeneo ya Ngaramtoni hasa Redio habari maalum... Kama unafahamu muuzaji ama dalali wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
naomba msaada nahitaji hizi chemical zifuatazo 1. Campden Tablet 2 Tannin 3. na hiki kifaa " HYDROMETER " Ntashukuru sana kwa msaada nitakaopata kwa mwenye kujua wapi naweza kuzipata
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninatafuta tender katika hotel kubwa na restaurants, mboga za aina tofauti tofauti kulingana na mahitaji yako. Namba: 0785281001
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habarini wadau.. Kwa anayefahamu bei za water pumps ndogo(manual) na upatikanaji wake naomba anifahamishe tafadhali...nina shida nayo.
1 Reactions
32 Replies
19K Views
Back
Top Bottom