INSIGHTS INTO THE MINDSET OF SUPER TRADERS Part 13
"Losing money is the least of my troubles. A loss never bothers me after I take it. I forget it overnight." - Jesse Livermore
Name: Kenneth...
hbri, kuna chumba na sebule choo ndani 70,000kwa mwezi. makoka....ina silinbod, rangi, gari mpaka mlangoni... changamkia ofa..
kwa maelezo.zaid..
nichek kwa pm
Habari wadau,
Baada ya kujikusanya nimeona ni vyema nikawekeza hiki kidogo nilichonacho katika ufugaji wa kuku!
Kama kichwa kivyojieleza, nahitaji kuku wa kienyeji wa malawi kwa ajili ya...
Kama tunavojua kila mtu anacho kipato kwa kuptia njia yoyote ya kufanya kazi lakn kutokana na ugumu wa maisha tunajikuta watu hela hazitoshi
Na kila ukifkria biashara ya kufanya unakuta wenzako...
Afisa Mtendji Mkuu wa Shaer illusions mama Shekha Nasser Akiwaeleza jambo washiriki wa Semina ya Ujasiriamlai ( hawapo pichani) Namna ya Kujitangaza kwa Kutumia njia mbalimbali , kuwahudumia na...
Salama wakuu,
Ni kwa wale wakulima wa vitunguu, kama wewe ni mkulima wa kitunguu unayetarajia kuvuna au ushavuna vitunguu vyako na unatafuta soko tuwasiliane ndugu yangu.Unaweza kupata soko.
habari wana JF
poleni na mihangaiko ya kimaisha. Naomba yeyote mwenye uelewa wa hii Biashara ya Ngombe kununua mikoani mfano Dodoma na kisha kuuza Dsm au Morogoro naomba ushauri tafadhari.
Naitwa Esther nipo Morogoro. Nauza kuku wa kienyeji mwenye uhitaji naomba nipigie au kutuma sms kwenye namba 0763592111 au 0658308754 karibuni sana. Ukipiga au kutuma sms ndo utapata bei
Naitwa Esther nipo Morogoro. Nauza kuku wa kienyeji ambao hawajachinjwa. Bei ni nafuuu.
Kwa yeyote atakayetaka anijuze kwa namba 0763592111 au 0658308754. Unaweza piga au kutuma SMS na hapo...
Jumapili saa tisa alasiri tarehe 13. 09. 2015 club ya wazee ilala kutakuwa na mkutano wa wafugaji kuku mkoa wa DSM siku ya jumapili kujadili juu ya upandaji wa bei ya chakula cha kuku na madawa...
are you in Tanzania and looking for assistance in fish farming? are you looking for fish seed or feed?? contact me 0717451771. for consultation and advice
Habar zenu, yeyote aliyeko/ anayeishi morogoro mwenye wazo zuri na bora la biashara lakin mtaji wake hautoshi kutekeleza wazo hilo na soko la biashara hiyo ni la uhakika,japo soko la biashara hiyo...
Habari ndugu....
Naitwa morris daudi mtanzania ninaeishi dsm....tuna kampuni yetu ambayo tunatoa mafunzo ya ujasiliamari.....tunafundsha jinsi ya kufanya biashara kisasa....tunafundsha online...
Hello wana-JF, Tafadhari naomba msaada kwa mwenye IDEA ya kuweza Kuingiza kipato kwa kutumia Gari aina ya NOAH, naomba anisaidie ili niweze kutumia hii gari kama mtaji na hivyo kutengeneza fedha...
Wakuu,
Nauza kuku wa kienyeji ambao wamekwisha chinjwa tayari kwa sh 10,000 mpaka 12,000. Nipo maeneo ya Mbezi Beach ila ikibidi naweza kukufikishia ulipo (utagharamia usafiri). Kama una...
Nitakusaidia kusajiri jina la biashara tu kwa gharama ndogo,
1. tsh20 000=mahitaji ya brela
2.tsh5 000=gharama za ku-access mtandaon
3.tsh10 000=garama zangu za huduma.
Pia ukipenda baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.