Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Kama kichwa kinavojieleza hapo juu. Nimebahatika kudunduliza hela nimepata laki 5 naweza kufanya biashara gani kwa wilaya ya NAMTUMBO mjini pale.naomba mchango wa mawazo maana najua kwangu...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kijana yoyote ambaye unaisoma makala hii ambaye unataka kujiaajiri kwanza lazima uyazingatie mambo haya , kwanza uelewe ujasiriamali ni kitu cha namna gani na unawezaje kufanikiwa kupitia...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
ELIMU BIASHARA JINSI YA KUUA BIASHARA YAKO Inasemekana kwamba Biashara nane au tisa kati ya biashara mpya ambazo huwa zinaanzishwa huwa zinafeli, yaani zinakufa na zinashindwa kuendelea...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wadau,automatic incubator zenye uwezo wa kuengua mayai 48 zinauzwa kwa punguzo la bei,kwa sasa bei ni Tshs 400,000/= na zina warranty ya mwaka mzima!kwa mwenye uhitaji anaweza kuni PM au...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello. Mimi ni kijana nina miaka 25, nipo Zanzibar. Nina elimu ya Diploma ya juu (advanced diploma) katika fani ya Finance. Kuna idea ambayo nahisi ina tija sana kwa maeneo ya dar es salaam na...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari msomaji wa uzi huu. Je, unahitaji kufanya biashara ya pamoja na unamtaji? karibu tufanye biashara kwa pamoja, haijalishi uko mkoa gani. Unaweza kuniPM namba yako kwa ufafanuzi zaidi. Fursa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna utajiri mkubwa uliolala katika Kilimo. Baadhi ya watu wanakosa taarifa tu ili wawe na uwezo mkubwa wa ki-uchumi. Bofya UjasiriMali na iMADS Ukithubutu, Utaweza.
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari wakuu,
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji vifaranga vya bata wa kawaida hawa (bata mavi). Mwenye navyo anipm. Ninapatikana Dsm.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba ushauri, nina idea ya kuanzisha biashara ya hardware na niko Dar but I do not have any idea on the business startup capital, business formalization process and its costs na where I can get...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
nataka kujua kwa kina juu ya green house farming has a faida,changamoto,na mmahali gani panafaa kwa kilimo hiki
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau nahitaji Miche ya nyanya hybrid kwaajili ya greenhouse, mwenye nayo anipigie 0786431443
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu? Kwanza mniwie radhi kwan kifaa changu kilizma chaji kabla sijapost. Nahitaji kupata maarifa juu ya kilimo cha tangawizi , je mbegu nzuri ni aina gan? Zinapatikana wap? Je...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Habari za leo mabibi na mabwana, Nina mpango wa kununua line za tigopesa na mpesa kutoka kwa wakala ambae ameacha kufanya biashara hiyo ya uwakala na kuamua kuziuza line zake. Kama mnavyojua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa mwenye uhitaji wa kuku hawa ni chotara,mchanganyiko wao ni kuku wa mayai wekundu na kuku wakienyeji,kuna majogoo na majike,majogoo ni wekundu kama walivyo majike na wanauwezo wakupanda vizuri...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu wajasiriamali na wadau wengine salaam, Ningependa tuutumie uzi huu kupeana update za bei ya mazao mbalimbali kwenye masoko mbali mbali nchini.Update hizo za mara kwa mara zitawasaidiwa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari za majukumu, Ningependa kujuzwa juu ya soko la asali kwa Dar es salaam, asali ni ya nyuki wakubwa kutoka Singida na ni asali mbichi. Thanx in advance
0 Reactions
21 Replies
7K Views
..
0 Reactions
0 Replies
819 Views
Washiriki, Poleni na majukumu. Leo naomba msaada wa mawazo. Ni wapi Tanzania hii ambako kuna shirika linasaidia vijana wenye idea nzuri za biashara na kuwapa funds bila masharti kama ya bank...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nataka kuanzisha biashara ya chips ila bado sijajua mchanganuo wake yaan mtaji, muuzaj namlipa kiasi gani kwa siku, mimi naingiza kiasi gani kwa siku, pia vitu vikiisha kama viazi ni juu yangu au...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom