yousaw
Senior Member
- Apr 21, 2014
- 160
- 128
Nataka kuanzisha biashara ya chips ila bado sijajua mchanganuo wake yaan mtaji, muuzaj namlipa kiasi gani kwa siku, mimi naingiza kiasi gani kwa siku, pia vitu vikiisha kama viazi ni juu yangu au ya niliyempa biashara, na mwsho kabisa ni namna nzuri ya kuendesha hii programe.
Msaada kwa anayefaham tafadhali.
AHSANTE.
Msaada kwa anayefaham tafadhali.
AHSANTE.