kinyangesi
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 247
- 86
Habari ndugu zangu?
Kwanza mniwie radhi kwan kifaa changu kilizma chaji kabla sijapost. Nahitaji kupata maarifa juu ya kilimo cha tangawizi , je mbegu nzuri ni aina gan? Zinapatikana wap? Je huchukua muda gan mpaka kuvuna? Kama nikiweza kupata gharama Zake na faida. Nitafurahi pia kupata uzoefu mwingne juu ya kilimo hiki.
Asanteni sana
Kwanza mniwie radhi kwan kifaa changu kilizma chaji kabla sijapost. Nahitaji kupata maarifa juu ya kilimo cha tangawizi , je mbegu nzuri ni aina gan? Zinapatikana wap? Je huchukua muda gan mpaka kuvuna? Kama nikiweza kupata gharama Zake na faida. Nitafurahi pia kupata uzoefu mwingne juu ya kilimo hiki.
Asanteni sana