Mitaji ya vijana (Mikopo)

Mitaji ya vijana (Mikopo)

Majaribu2013

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
952
Reaction score
1,050
Washiriki,

Poleni na majukumu.

Leo naomba msaada wa mawazo. Ni wapi Tanzania hii ambako kuna shirika linasaidia vijana wenye idea nzuri za biashara na kuwapa funds bila masharti kama ya bank?


Msaada wako ni muhimu.
 
Hivi kwa nini mawazo yetu yamekuwa duni kiasi kwamba tunaamini mtu hawezi kufika mahali akapata mtaji wake?Kwani wenye mitaji wao wamepata wapi?Laiti tungejua the dark side of loans,tungekimbia mikopo.Aliyelala usimwamshe,ukimwamsha utalala wewe.
Washiriki,

Poleni na majukumu.

Leo naomba msaada wa mawazo. Ni wapi Tanzania hii ambako kuna shirika linasaidia vijana wenye idea nzuri za biashara na kuwapa funds bila masharti kama ya bank?


Msaada wako ni muhimu.
 
Back
Top Bottom