Majaribu2013
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 952
- 1,050
Washiriki,
Poleni na majukumu.
Leo naomba msaada wa mawazo. Ni wapi Tanzania hii ambako kuna shirika linasaidia vijana wenye idea nzuri za biashara na kuwapa funds bila masharti kama ya bank?
Msaada wako ni muhimu.
Poleni na majukumu.
Leo naomba msaada wa mawazo. Ni wapi Tanzania hii ambako kuna shirika linasaidia vijana wenye idea nzuri za biashara na kuwapa funds bila masharti kama ya bank?
Msaada wako ni muhimu.