Jamani kila ninapofikiria nianzishe mradi, juhudi zinakwama hasa katika kubuni huo mradi. Big up sana kwa walioweza huu mtihani.
Naombeni na mimi mnipe techniquesm
Wadau napenda kuwashilikisha katika uwekezaji wa miti na kujipatia utajiri Baada ya muda mfupi....miti inapatikana Kuanzia hekari 1 hadi 300 .nk..miti hiyo ni kama vile.....
(a ) miti iliyo...
Habari!!!
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) mwaka wa kwanza. Niko katika hatua za usajili lakini nimepungukiwa laki 4 kukamilisha usajili. Mkopo kutoka bodi (HESLB) nimepata, ila...
Ndugu wadau, kwa yeyote anayehitaji kufanya biashara ya kuuza gesi za kupikia pamoja na vifaa vyake tuwasiliane.
Nimekuwa nikifanya hii biashara kwa kipindi cha miaka mitano sasa nikimiliki...
Samahani sana ndugu zangu nataka kufungua kampuni ya Fumigation now nipo katika masuala ya usajili, nataka kujua ni mikoa ipi nitapata zaidi soko na changamoto zake.
Wakubwa shikamoni, wenzangu na Mimi habari zenu
Mm ni kijana bado cjaoa, nahitaji kufikia malengo yangu ya kumiliki nyumba mjin kabla ya kuoa,
Nina mtaji wa Tsh 1,000,000/= nahitaji mnipe...
Edmark tz(approved by TFDA)
Splina Liquid Chlorophyll - possesses 3 main
functions; cleansing, balancing, and nourishing.
These enable us to have a stronger body and
better health.
1. Cleansing -...
Kulingana na kichwa hapo juu nahitaji kufanya biashara ya stationary mkoan nimeshalipa pango. shida yangu ni mashine y kopy and printing kwa mtaji huo mashine zle kubwa haitoshi .ktk pitapita...
USIKUBALI KITU HIKI HATA SIKU MOJA
Hakuna mtu ambaye anaamka asubuhi na mara moja tu akawa na mawazo ya kukata tamaa, na kuona mbele hakuwezekani tena.
Hiki sio kitu kinachokuja...
Yaani tangu nimekuja huku umeme ni shida. Jana umekatika saa kumi na mbili alfajiri n umerudi saa saba kasoro usiku na sasa ninavyoandika umekatika saa kumi na mbili asubuhi hii. Nilitegemea...
Ndg, Tunatarajia kuwa na event ya kitaifa mwezi wa pili 2016. Tunaomba mtu mwenye uwezo wa kutengeneza wimbo maalum kwa event hiyo.
Nitafute
0752 698 691