Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari wafugaji natumaini wote ni wazima wa afya.napenda kumshukur mungu kupata nafasi hii kwenu.kwa majina naitwa dr gilliard nimebobea katika masuala ya matibabu ya wanyama.. Leo napenda...
1 Reactions
0 Replies
367 Views
Salaam wakuu, kwanza niwatakie mapumziko mema ya sikukuu ya Maulid. Kama title inavyojieleza nataka tushare na wewe mbinu mbalimbali za kumfanya mbwa wako kuwa mkali zaidi na kuogofya wezi na...
5 Reactions
130 Replies
54K Views
Wadau nahitaji kwenda kujaribu kilimo cha nyanya chungu,vitunguu,bamia,nyanya kule rufiji(daraja la mkapa). Naombeni ambaye ameshajaribu kulima huko atoe uzoefu ya mazao ya bustani yanayokubali...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Leo katika group letu la mafunzo tunaendelea na somo letu, ambapo tutachambua aina bora zaidi za ng'ombe wa maziwa moja baada ya nyingine. Tutazungumzia sifa zao, changamoto wanazokumbana nazo, na...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
USHETU: WAFUGAJI KUTENGEWA MAENEO YA MALISHO HALMASHAURI YA USHETU Serikali imeahidi kutenga maeneo maalum kwa ajili ya wafugaji katika halmasahauri ya Ushetu Wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga...
1 Reactions
0 Replies
240 Views
Habari zenu wadau, Nimejaribu kulima pilipili za mwendokasi, japo nilizichelewesha kwenye kitalu lakini nimezipanda zikashika vizuri zikakutana na kiangazi zikala jua la kutosha la Dar then...
2 Reactions
5 Replies
771 Views
Hii ni fursa halisi kwa wale wanapenda ufugaji na kuwekeza kwenye kilimo na ufugaji wa kisasa, hata kama wanaishi mijini au wana eneo dogo. Kuku wa mayai mwenye lishe bora anaweza kutaga kila...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari zenu wa kulima wenzangu nnashamba langu lina magugu mengi sana na uchumi haujakaa vizuri nnataka ninunue tu dawa ya kuua magugu nipulizie hila sijawahi kutumia naomba kujua km kuna madhara...
4 Reactions
33 Replies
3K Views
Je, unajua ukubwa wa shamba lako? Je, umechunguza hali ya udongo unaotumia kila msimu? Kufanya kilimo bila taarifa hizi ni sawa na kuingia kwenye giza nene bila tochi! Leo #RubabaTV tupo...
1 Reactions
2 Replies
387 Views
Nipo Mbeya nafanya shughuri ya ufugaji wa kuku wa kienyeji. Mwanzo mradi ulienda vizuri sana lakini nimekutana na changamoto ambayo imenifanya nianze upya. Wazo nililonalo ni kufanya kilimo cha...
2 Reactions
10 Replies
953 Views
REJEA SOMO TAJWA hapo juu natafuta sungura watatu moja dume mawili majike kwa ajili ya kufuga... wawe ni ile mbegu yenye umbo kubwa...waliopo maeneo ya jirani na kahama njoo dm...tupange biashara
2 Reactions
2 Replies
396 Views
MAX PIG SUPER MEAT VIRUTUBISHO ASILIA BORA KWA AFYA YA NGURUWE WAKO. ■ FAIDA YA KUTUMIA MAX PIG SUPER MEAT. -Nguruwe hukuwa haraka pasipo kudumaa na kuongeza uzalishaji wa nyamaa Tamu isiyo...
0 Reactions
1 Replies
515 Views
MBUNGE CHEREHANI ASEMA TUMBAKU BORA HUANZIA SHAMBANI Wakulima wa zao la Tumbaku hapa Nchini wameaswa kuzingatia kanuni bora za kilimo cha zao hilo ili kuzalisha kwa tija na kupata soko la uhakika...
0 Reactions
0 Replies
337 Views
MBUNGE BUTONDO ASHAURI PEMBEJEO ZA KILIMO CHA PAMBA KUTOLEWA MAPEMA Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Mhe. Boniphace Butondo ameishauri Serikali kusambaza pembejeo za kilimo cha zao la...
0 Reactions
0 Replies
290 Views
KITABU CHA KUPUNGUZA GHARAMA ZA UFUGAJI KIPO TAYARI, SOFT COPY NI TSH 2000. HARD COPY 20000. KITABU KIPO MAKTABA YA TAIFA KWA UWEZO WA ALLAH. NJOO INBOX KAMA UNAHITAJI. SURA YA KWANZA VYAKULA...
0 Reactions
0 Replies
273 Views
Habari wanajamii, Mimi ni mdau ninayepanga kuanzisha mradi wa ufugaji endelevu na salama kiafya hapa Dodoma. Lengo kuu la mradi huu ni kuzalisha bidhaa za mifugo kama nyama, maziwa, mayai na...
2 Reactions
4 Replies
544 Views
MAX PIG SUPER MEAT VIRUTUBISHO ASILIA BORA KWA AFYA YA NGURUWE WAKO. ■ FAIDA YA KUTUMIA MAX PIG SUPER MEAT. -Nguruwe hukuwa haraka pasipo kudumaa na kuongeza uzalishaji wa nyamaa Tamu isiyo na...
0 Reactions
0 Replies
324 Views
Naomba kupata uzoefu wa matumizi ya Mbolea za kukuzia katika kilimo cha mbegu zinazozalia chini...mfano karanga. Nimejaribu ku google lakini maelezo hayajitoshelezi Aidha nimeongea na wa kulima...
5 Reactions
27 Replies
3K Views
TREY ZA HYDROPONIC FODDER- TSH 5000 Hydroponic Fodders ni sayansi ya kuzalisha chakula lishe cha wanyama chenye wingi wa Protein, kutokana na nafaka kama Ngano, Mahindi, Uwele, Mtama. FAIDA ZA...
0 Reactions
0 Replies
298 Views
♨️♨️ TREY ZA HYDROPONIC FODDER- TSH 5000 ♨️♨️ Hydroponic Fodders ni sayansi ya kuzalisha chakula lishe cha wanyama chenye wingi wa Protein, kutokana na nafaka kama Ngano, Mahindi, Uwele, Mtama...
1 Reactions
0 Replies
266 Views
Back
Top Bottom